Econometrician
JF-Expert Member
- Oct 25, 2013
- 15,795
- 28,449
Wadau habari zenu,
Nina tatizo nikimtumia mtu mail kutumia accnt yangu ya gmail nikiwa nime-attach document inakuwa ina-fail kupokelewa.
Mfano kama ninamtumia mtu ambaye yupo orgnztn fulani inarudi message ya kumpuni husika yani postmaster wa kampuni hyo .
Je, hili tatizo husababishwa na nini?
Nina tatizo nikimtumia mtu mail kutumia accnt yangu ya gmail nikiwa nime-attach document inakuwa ina-fail kupokelewa.
Mfano kama ninamtumia mtu ambaye yupo orgnztn fulani inarudi message ya kumpuni husika yani postmaster wa kampuni hyo .
Je, hili tatizo husababishwa na nini?