sinajinasasa
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 2,989
- 4,129
Science pia ni dini, remember!!Kwani kaongea nini, kuna science hapo, utopolo mtupu.We want science, sio empty words.
Uliambiwa kwenye science kuwa Fluoride inaimarisha meno sio?
But flioride ni toxic, ukiweka kwenye glass inatoboka, ndo main cause ya watu kuharibika meno na mifupa.
Lakini imewekwa kwenye dawa za meno na maji, angalia chupa za maji ya viwandani kenge wewe!
Kwenye sembe na ngano unayokula umewekewa "elements" hatari zinaitwa 'lishe' au Fortification eti ili upate afya bora, pumbavu wewe mwanasayansi.
Fala wewe angalia chupa za vyakula za madukani kama Tomato, Chilli sauce na vyakula vingine wameweka Code za Synthetic elements wameandika kwa Code kama hizi, E102, au E501 nk
Ushawahi kujiuliza kwa nini wamekuficha wewe mbugila usiyejielewa, sisi tunaojielewa tunajua.