"OUT OF TOPIC"
Kama mpenzi wa magazeti ya udaku ni mekuwa na tatizo la "band width limit" kwa takribani week kazaa sasa whenever i tries to open tovuti ya globalpublisherstz.com sasa naomba wahusika mlifatilie hili japo kuwa ni wasoji wa bure but tuna haki yetu,
Na mnaofahamiana na akina shigongo kama mchopanga-kumbikila wakumbusheni jamani!