joto la jiwe
JF-Expert Member
- Sep 4, 2017
- 26,117
- 46,613
Global Peace Index – Vision of Humanity
Tanzania imeendelea kudhihirisha kwamba ni kisiwa cha amani baada ya kuchumpa nafasi sita zaidi na kushika nafasi ya 52 duniani kwa amani, Uganda imeshika nafasi ya 109 baada ya kuporomoka nafasi 3 chini na kuzidi kuipita Kenya kwa mbali ambayo imeshika nafasi ya 125 baada ya kushuka nafasi 3 chini.
Hali ya usalama Kenya inazidi kuzorota kwa kasi kutokana na polisi wa Kenya nao kuwa ni sehemu ya makundi ya watu wenye kuwaua watu badala ya kuwalinda.
====
TANZANIA YAONGOZA KWA KUWA NCHI YENYE AMANI ZAIDI AFRIKA MASHARIKI
Utafiti uliofanyika na Taasisi ya Uchumi na Amani (Institute for Economics and Peace) umetaja nchi zenye amani duniani huku Tanzania ikiwa ni ya 52 duniani na ya 1 Afrika Mashariki
Kenya ni nchi ya 125 na Uganda ni ya 109 duniani huku nchi ya kwanza kwa kuwa na amani ni Iceland ikifuatiwa na New Zealand na Portugal na nchi zilizoshika mkia kwa amani ni Iraq, Syria na Afghanstan ni ya mwisho kabisa
Jarida hilo linalotoa hali ya amani kwa nchi huru 163 duniani limeonesha amani ya dunia, Global Peace Index imeshuka kwa 0.34%
Tanzania imeendelea kudhihirisha kwamba ni kisiwa cha amani baada ya kuchumpa nafasi sita zaidi na kushika nafasi ya 52 duniani kwa amani, Uganda imeshika nafasi ya 109 baada ya kuporomoka nafasi 3 chini na kuzidi kuipita Kenya kwa mbali ambayo imeshika nafasi ya 125 baada ya kushuka nafasi 3 chini.
Hali ya usalama Kenya inazidi kuzorota kwa kasi kutokana na polisi wa Kenya nao kuwa ni sehemu ya makundi ya watu wenye kuwaua watu badala ya kuwalinda.
====
TANZANIA YAONGOZA KWA KUWA NCHI YENYE AMANI ZAIDI AFRIKA MASHARIKI
Utafiti uliofanyika na Taasisi ya Uchumi na Amani (Institute for Economics and Peace) umetaja nchi zenye amani duniani huku Tanzania ikiwa ni ya 52 duniani na ya 1 Afrika Mashariki
Kenya ni nchi ya 125 na Uganda ni ya 109 duniani huku nchi ya kwanza kwa kuwa na amani ni Iceland ikifuatiwa na New Zealand na Portugal na nchi zilizoshika mkia kwa amani ni Iraq, Syria na Afghanstan ni ya mwisho kabisa
Jarida hilo linalotoa hali ya amani kwa nchi huru 163 duniani limeonesha amani ya dunia, Global Peace Index imeshuka kwa 0.34%