jingalao
JF-Expert Member
- Oct 12, 2011
- 35,052
- 28,242
Hii ni kwa mujibu wa Utafiti wa Taasisi ya GHI ambayo imetoa ripoti ya mwaka 2017.
Ikumbukwe kuna baadhi ya wanasiasa wakiongozwa na Zitto walitaka Rais atangaze hali ya hatari kisa upungufu wa chakula ilihali uhalisia wa mambo ni tofauti.
Katika Afrika Mashariki Tanzania imetanguliwa na Kenya huku pia cha kuvutia ni Kuipita Nchi ya India na Ethiopia ambazo tunakimbizana nazo kwa kasi ya ukuaji wa uchumi.