Democracy999
JF-Expert Member
- May 26, 2012
- 945
- 189
Ndugu Wazalendo, Tanzania inaelekea kwenye kundi la Vitovu vya kukamand Dunia, tusijidharau kwanzia kina Mandela, John Garang, Yasser Arafat, Yoweri Museveni na wengine wengi walibebwa na Tanzania hadi Ikulu, mpaka leo viongozi wakubwa wa Dunia lazima waje kuhiji Bongo. Ikiwa ndio kwanza uchumi wetu unajiandaa kupaa, jee? Jina la Mji wetu Mkuu tubaki na Dar au Bongo? Au si bora yale majina yake ya Kale kama Azania au Mzizima!