Hili giza analosema Ngeleja kuwa litakuwa ni lazima nahitaji za ndanili zaidi
kuana nini au na yeye anataka kuwa kama Mr Dowans tuchimbieni za ndani zaidi
Unawezakukuta huyu jamaa ana masters! bongo bwana
yeye ni mwanasheria - na umeme wapi na wapi --
yeye ni mwanasheria - na umeme wapi na wapi --
Nimesoma mara ya 3, na bado sijaelewa kitu. Wenzangu mnazungumzia kitu gani?, hebu tumieni kiswahili cha kawaida.
Shedafa na Mwiba, naungana na nyie mana kila niliposoma sikuelewa zaidi ya mara tatu mpaka nikangoja watu wachangie lakini ndo kabisaa mchanganyiko zaidi..
Shy, nani alikuambia kuwa hapa BONGO profession zaheshimiwa ili kupangiwa kazi, kalagabaho!!!Kuna mifano mingi tu ya mipangilio isiyojali profession, mfano Prof Sarungi (mtaalamu wa mifupa)=Waziri wa mawasiliano wakati wa Mwinyi; Bet Mkwasa (msoma taarifa ya habari)=Mkuu wa Wilaya wakati wa Lowassa; Prof Kapuya (mtaalamu wa Elimu)=Waziri wa Kazi, Vijana na Ajira. Hata Tanzania mtu unapelekwa / unapangiwa kokote ukiweza sawa, ukishindwa poa, unahamishwahamishwa na kupatya posho za uhamisho, bora liende.....
Labda alikusudia :- Hili giza analosema Ngeleja kuwa litakuwa ni lazima , nahitaji (habari) za ndanili (ndani) zaidi
kuana nini kuamini au na yeye anataka kuwa kama Mr Dowans tuchimbieni za ndani zaidi ____________Nafikiri nimeiweka sawa maana sikuwahi kufeli somo la kiswahili.
Hili giza analosema Ngeleja kuwa litakuwa ni lazima, nahitaji habari za ndanili (ndani) zaidi 'kuana nini' (ni kwa nini)? [Yaani kwa nini ni lazima tuwe na giza?]. Au na yeye (Mh Ngeleja) anataka kuwa kama Mr Dowans (Mh Zitto !!!!)?
(Wana JF)Tuchimbieni habari za ndani zaidi.
Unajua mtoto wa darasa la tano anaweza akakuwekea sawa hiyo sentenso lakini hapa JF si ajabu wengine wakakuambia ameandika sawasawa na watu wamejadili na kuendelea na mjadala ! Na ushahidi wakaweka kabisa kuwa kijana hana kosa.Pengine hivi!
Still it does not easily make sense! Inaelekea wengine tunaingia jamvini tayari tukiwa 'chicha'!
Pengine hivi!
Still it does not easily make sense! Inaelekea wengine tunaingia jamvini tayari tukiwa 'chicha'!
Mkuu; sentensi imekaa kichina-china... halafu nashangaa mods wameiacha! duh!!!
Ni bora akaiachia inachangamsha akili ,yaani jamaa wengine wanakuja hapa kutoa mitihani ,si kunasifika kuna wasomi na mapro wa luga ,hicho kindende sasa kinahitaji mbinde maana ukijua ngendembwe utakutana na ngalambe tunachangamsha akili baada ya kuona Chadema ni ndumila kuwili ingawa wanajaribu kujipapatua. Ila kwa kuongezea tu pingine moderator nae yuko katika kuiweka sawa ni moja kati ya kuweka sawa mambo sasa hapa sio jamaa ameteleza mikono bali na control pia inaonekana haipo
Mzee nimekusoma upande wa kwanza, ila hilo la chadema sina kauli kwani na yenyewe yaweza kuwa tungo tata
turudi kwenye mada, huyo jamaa anasema nini kuhusu giza la septemba?