Girls born in 1990

Nikija hapa jf nikisema kwamba "aagh nimechoka vyakula vya KFC" Kuna watu wataona kwamba hayo maisha ya kula KFC sina najikweza tuu ili nionekane matawi.
Same mimi nikija hapa nikisema vyakula vya mama ntilie vinaniumiza tumbo, nitakandiwa sana kwamba kwanini nakula mama ntilie nisiende sehemu classic ( watakuwa wameamini kweli nakula mama ntilie). Ila nikisema KFC wataona najikweza tuu. (KFC ni mfano tuu haimaanishi ndio best kwangu).

Mwanamke akicomment kuwakandia wanaume ataambiwa ana stress , ndoa yake haina furaha, au hataolewa na vitu kama hivyo.
Mwanamke akisifia wanaume ataonekana anajitongozesha , anatafuta bwana na vitu kama hivyo.

Jee mwanaume akimkandia mwanamke yeye hana stress?? Ndoa yake haina furaha?

Mbona hapa kwenye huu Uzi kuna makombora yanatok kwa wanaume kuja kwa wanawake lakini hamjichukulii kama na nyie mna stress ? Kama mahusiano yenu yana furaha hizo experience mbaya za wanawake mmezipata wapi?.

Yaani mpaka ifike mahali mtu aogope kucomment kwa sababu aki comment mabaya yatakuwa yanachukuliwa ndiyo maisha yake halisi, lakini aki comment mazuri hayachukuliwi ni maisha yake halisi inachukuliwa ni fantasy yake.

Mnasema huku jf watu tunafake maisha ila pale tuu ambapo tutakuwa tumeongelea mambo mazuri kama nyumba, magari, ndoa yenye furaha, kazi nzuri nk. Hapo ni kufake.

Ila tukizungumzia mabaya kama migogoro ya mahusiano, kulala njaa, kupanga uswahilini hapo inakuwa siyo kufake inakuwa ni kweli.


Smh..
Cc Lizarazu.
 
Asante
Utabaki tu kuguess.

Anyway mimi nakuaga tu ni mbishi. Hasa vitu ambayo havina fact. Yani mtu analeta opinion zake halafu ndio anataka iwe hivo kwa kila mtu. Tutabishana mpaka asubuhi. Sababu wewe utakua na opinion A na mimi B afu wote hatukubaliani.

Sipendi kuona watu wanasakamwa (wanasemwa semwa). Niko kama activist but I'm not. Nimekupa mfano uelewe. I like to speak for the weakest party (mfano: Kondakta wa dalada na wanafunzi, weakest party ni mwanafunzi).

Then hii mada imenikuta tuko in a long weekend. Nina muda wa kushika simu. Comment zangu nyingi (almost zote) ni reply ya mtu ambae nae amenijibu kitu.

I can say tokea nimeingia jamiii forum miaka kadhaa iliyopita sijawahi kujibu thread au kuwa involved in it kama this one. Na sio kwamba mada za hivi hazipo au hazijawahi kuletwa. Zipo nyingi lakini sikua na muda kama niliokua nao wiki hii .

Lastly, mimi nafurahia maisha yangu katika hali zote. Watu wanaonijua wanajua. Aidha nimeolewa au sijaolewa kwangu sioni kama kuna kitu kinapungua. Mimi sio kama wadada au watu wengi, they waiting for their better half to complete them. Mimi siishi hivo. Furaha yangu haitegemei mtu au watu. Iko ndani yangu.

Mimi ni mtu ambae nakasirika usiku asubuhi nakua mtu mwingine. I don't hold grudges and I don't let some external force control my happiness.
 
Hahaha some mamaz are here for real. The post itself was a joke. I posted it at JF chit chat....wondering mods wakaumuzisha to MMU.

Holla to all of you old cargos bragging whatever in here. Enjoy ur times. We die once.
 
Nikija hapa jf nikisema kwamba "aagh nimechoka vyakula vya KFC" Kuna watu wataona kwamba hayo maisha ya kula KFC sina najikweza tuu ili nionekane matawi.
Same mimi nikija hapa nikisema vyakula vya mama ntilie vinaniumiza tumbo, nitakandiwa sana kwamba kwanini nakula mama ntilie nisiende sehemu classic ( watakuwa wameamini kweli nakula mama ntilie). Ila nikisema KFC wataona najikweza tuu. (KFC ni mfano tuu haimaanishi ndio best kwangu).

Mwanamke akicomment kuwakandia wanaume ataambiwa ana stress , ndoa yake haina furaha, au hataolewa na vitu kama hivyo.
Mwanamke akisifia wanaume ataonekana anajitongozesha , anatafuta bwana na vitu kama hivyo.

Jee mwanaume akimkandia mwanamke yeye hana stress?? Ndoa yake haina furaha?

Mbona hapa kwenye huu Uzi kuna makombora yanatok kwa wanaume kuja kwa wanawake lakini hamjichukulii kama na nyie mna stress ? Kama mahusiano yenu yana furaha hizo experience mbaya za wanawake mmezipata wapi?.

Yaani mpaka ifike mahali mtu aogope kucomment kwa sababu aki comment mabaya yatakuwa yanachukuliwa ndiyo maisha yake halisi, lakini aki comment mazuri hayachukuliwi ni maisha yake halisi inachukuliwa ni fantasy yake.

Mnasema huku jf watu tunafake maisha ila pale tuu ambapo tutakuwa tumeongelea mambo mazuri kama nyumba, magari, ndoa yenye furaha, kazi nzuri nk. Hapo ni kufake.

Ila tukizungumzia mabaya kama migogoro ya mahusiano, kulala njaa, kupanga uswahilini hapo inakuwa siyo kufake inakuwa ni kweli.


Smh..
Cc Lizarazu.
Comment ya kufungia uzi.
 
Nikija hapa jf nikisema kwamba "aagh nimechoka vyakula vya KFC" Kuna watu wataona kwamba hayo maisha ya kula KFC sina najikweza tuu ili nionekane matawi.
Same mimi nikija hapa nikisema vyakula vya mama ntilie vinaniumiza tumbo, nitakandiwa sana kwamba kwanini nakula mama ntilie nisiende sehemu classic ( watakuwa wameamini kweli nakula mama ntilie). Ila nikisema KFC wataona najikweza tuu. (KFC ni mfano tuu haimaanishi ndio best kwangu).

Mwanamke akicomment kuwakandia wanaume ataambiwa ana stress , ndoa yake haina furaha, au hataolewa na vitu kama hivyo.
Mwanamke akisifia wanaume ataonekana anajitongozesha , anatafuta bwana na vitu kama hivyo.

Jee mwanaume akimkandia mwanamke yeye hana stress?? Ndoa yake haina furaha?

Mbona hapa kwenye huu Uzi kuna makombora yanatok kwa wanaume kuja kwa wanawake lakini hamjichukulii kama na nyie mna stress ? Kama mahusiano yenu yana furaha hizo experience mbaya za wanawake mmezipata wapi?.

Yaani mpaka ifike mahali mtu aogope kucomment kwa sababu aki comment mabaya yatakuwa yanachukuliwa ndiyo maisha yake halisi, lakini aki comment mazuri hayachukuliwi ni maisha yake halisi inachukuliwa ni fantasy yake.

Mnasema huku jf watu tunafake maisha ila pale tuu ambapo tutakuwa tumeongelea mambo mazuri kama nyumba, magari, ndoa yenye furaha, kazi nzuri nk. Hapo ni kufake.

Ila tukizungumzia mabaya kama migogoro ya mahusiano, kulala njaa, kupanga uswahilini hapo inakuwa siyo kufake inakuwa ni kweli.


Smh..
Cc Lizarazu.

ahahaha!! Cute B i didn’t see thi initially!

hili bandiko lako nimelielewa sana mama!!

acha nisivurugie watu sikukuu!
 
So at what age?
GBWA-20190813180135.jpeg
 
Nikija hapa jf nikisema kwamba "aagh nimechoka vyakula vya KFC" Kuna watu wataona kwamba hayo maisha ya kula KFC sina najikweza tuu ili nionekane matawi.
Same mimi nikija hapa nikisema vyakula vya mama ntilie vinaniumiza tumbo, nitakandiwa sana kwamba kwanini nakula mama ntilie nisiende sehemu classic ( watakuwa wameamini kweli nakula mama ntilie). Ila nikisema KFC wataona najikweza tuu. (KFC ni mfano tuu haimaanishi ndio best kwangu).

Mwanamke akicomment kuwakandia wanaume ataambiwa ana stress , ndoa yake haina furaha, au hataolewa na vitu kama hivyo.
Mwanamke akisifia wanaume ataonekana anajitongozesha , anatafuta bwana na vitu kama hivyo.

Jee mwanaume akimkandia mwanamke yeye hana stress?? Ndoa yake haina furaha?

Mbona hapa kwenye huu Uzi kuna makombora yanatok kwa wanaume kuja kwa wanawake lakini hamjichukulii kama na nyie mna stress ? Kama mahusiano yenu yana furaha hizo experience mbaya za wanawake mmezipata wapi?.

Yaani mpaka ifike mahali mtu aogope kucomment kwa sababu aki comment mabaya yatakuwa yanachukuliwa ndiyo maisha yake halisi, lakini aki comment mazuri hayachukuliwi ni maisha yake halisi inachukuliwa ni fantasy yake.

Mnasema huku jf watu tunafake maisha ila pale tuu ambapo tutakuwa tumeongelea mambo mazuri kama nyumba, magari, ndoa yenye furaha, kazi nzuri nk. Hapo ni kufake.

Ila tukizungumzia mabaya kama migogoro ya mahusiano, kulala njaa, kupanga uswahilini hapo inakuwa siyo kufake inakuwa ni kweli.


Smh..
Cc Lizarazu.
hahaha

Embu Fanya Fanya kunisifia mie.
 
Utabaki tu kuguess.

Anyway mimi nakuaga tu ni mbishi. Hasa vitu ambayo havina fact. Yani mtu analeta opinion zake halafu ndio anataka iwe hivo kwa kila mtu. Tutabishana mpaka asubuhi. Sababu wewe utakua na opinion A na mimi B afu wote hatukubaliani.

Sipendi kuona watu wanasakamwa (wanasemwa semwa). Niko kama activist but I'm not. Nimekupa mfano uelewe. I like to speak for the weakest party (mfano: Kondakta wa dalada na wanafunzi, weakest party ni mwanafunzi).

Then hii mada imenikuta tuko in a long weekend. Nina muda wa kushika simu. Comment zangu nyingi (almost zote) ni reply ya mtu ambae nae amenijibu kitu.

I can say tokea nimeingia jamiii forum miaka kadhaa iliyopita sijawahi kujibu thread au kuwa involved in it kama this one. Na sio kwamba mada za hivi hazipo au hazijawahi kuletwa. Zipo nyingi lakini sikua na muda kama niliokua nao wiki hii .

Lastly, mimi nafurahia maisha yangu katika hali zote. Watu wanaonijua wanajua. Aidha nimeolewa au sijaolewa kwangu sioni kama kuna kitu kinapungua. Mimi sio kama wadada au watu wengi, they waiting for their better half to complete them. Mimi siishi hivo. Furaha yangu haitegemei mtu au watu. Iko ndani yangu.

Mimi ni mtu ambae nakasirika usiku asubuhi nakua mtu mwingine. I don't hold grudges and I don't let some external force control my happiness.
Maandishi yako yanakushangaa mkuu.

Mtu wa kariba unayoielezea hahitaji kutumia muda wake mwingi au maelezo marefu kama ulivyofanya ku validate aina ya maisha anayoyaishi if at all ni kweli anaishi aina hiyo ya maisha.

Pia maandishi yako yanaonesha uko na dreams za kuwa na aina hiyo ya maisha. Goodluck girl.
 
Back
Top Bottom