Girls born in 1990

Nimegundua humu Marianah ndiye commentator mkuu. Anajibu na kupinga hoja zote....she has got an answer to every question. Sijui tumpe hongera au pole.

Itakavyompendeza Bwana.

Mimiks ni namba mbili. The same rule applies.

Hawa wawili wameonekana kuguswa zaidi na huu uzi. What does it entail?

Mawili, kama inawahusu kuwa ni 30s na hawajaolewa ni ukweli kwamba wana stress na hapa wanatumia kama sehemu ya kutolea stress. Laa, wameolewa, they are not happy with their marriages.

Mind you, mwanamke hawezi kuficha hisia zake. Akiwa na furaha utajua, akichukia utajua, akiwa stressed utajua. Hata kwa anachokiandika utagundua something is wrong.

So these dadas are passing through hard times....hapa watabisha tu si unajua bwana hii ni JF.

Ukitaka uzi watapike nyongo vijana wa kiume...andika kuwa mtu yuko 30 na hana cha maana anachomiliki. Hana nyumba, kiwanja, gari, mchumba (mwanamke anayeeleweka)....utakuta mzozo kama huu wadada. Kina kaka nao wakivutia upande wao....watakwambia maisha hayana formula....na vtu vya kujifariji fariji.


Mwisho kabisa. Vijana tufanye kazi kwa bidii. Ukimaliza chuo pambana within 2 years uwe superb tuwaoe hawa wadada. Sisi ndio chanzo, hatuwaoi, tunawazalisha tu...umri wao unasogea. Wanafika hiyo 30 kama sisi wenyewe kisha tunawacheka ila kimsingi ni kwamba tumeshindwa kuwaoa....sababu hatuna mali.

Ingawa wanawake wa 30yrs sio wa wanaume wa 30s....so kwa hili tuwalaumu mabrother wetu. Sisi (vijana wa late 20s na 30) wake zetu ni mid 1990s mpaka 2000...yaani 1995 kuja juu. Hao ndio wake zetu. Ila unaruhusiwa kuchukua "old cargo" pia, ikimpendeza Mungu na ikikupendeza.

Tchao

Nikija hapa jf nikisema kwamba "aagh nimechoka vyakula vya KFC" Kuna watu wataona kwamba hayo maisha ya kula KFC sina najikweza tuu ili nionekane matawi.
Same mimi nikija hapa nikisema vyakula vya mama ntilie vinaniumiza tumbo, nitakandiwa sana kwamba kwanini nakula mama ntilie nisiende sehemu classic ( watakuwa wameamini kweli nakula mama ntilie). Ila nikisema KFC wataona najikweza tuu. (KFC ni mfano tuu haimaanishi ndio best kwangu).

Mwanamke akicomment kuwakandia wanaume ataambiwa ana stress , ndoa yake haina furaha, au hataolewa na vitu kama hivyo.
Mwanamke akisifia wanaume ataonekana anajitongozesha , anatafuta bwana na vitu kama hivyo.

Jee mwanaume akimkandia mwanamke yeye hana stress?? Ndoa yake haina furaha?

Mbona hapa kwenye huu Uzi kuna makombora yanatok kwa wanaume kuja kwa wanawake lakini hamjichukulii kama na nyie mna stress ? Kama mahusiano yenu yana furaha hizo experience mbaya za wanawake mmezipata wapi?.

Yaani mpaka ifike mahali mtu aogope kucomment kwa sababu aki comment mabaya yatakuwa yanachukuliwa ndiyo maisha yake halisi, lakini aki comment mazuri hayachukuliwi ni maisha yake halisi inachukuliwa ni fantasy yake.

Mnasema huku jf watu tunafake maisha ila pale tuu ambapo tutakuwa tumeongelea mambo mazuri kama nyumba, magari, ndoa yenye furaha, kazi nzuri nk. Hapo ni kufake.

Ila tukizungumzia mabaya kama migogoro ya mahusiano, kulala njaa, kupanga uswahilini hapo inakuwa siyo kufake inakuwa ni kweli.


Smh..
Cc Lizarazu.
 
Povu. Huyu povu. Huyu inamhusu 100% . Relax bidada....maisha umeyakosea mwenyewe unamnunia nani?

Kaa kwenye ndoa jifurahishe mwenyewe. At the end of the day kumbe una dream za kuolewa.
Nimekununia au shobo?
Hapana utaolewa wewe peke yako
 
Ujue tunabadili lengo la thread mkuu.
Embu turudi kwenye Uzi kwanza
Na hiki kidhungu..mwenzio nmeishia la 3c
Never waste your time, never let you go
Talk down, back-to-back, you're the best I know
Oh yeah, you dey blow my mind
Blow my mind, blow my mind
For your love, I go change my life
Change my life, change my life (yeah)
Ye gba, come here do your dance make I spend ego
 
Hamna bby.
Never waste your time, never let you go
Talk down, back-to-back, you're the best I know
Oh yeah, you dey blow my mind
Blow my mind, blow my mind
For your love, I go change my life
Change my life, change my life (yeah)
Ye gba, come here do your dance make I spend ego
 
Nimegundua humu Marianah ndiye commentator mkuu. Anajibu na kupinga hoja zote....she has got an answer to every question. Sijui tumpe hongera au pole.

Itakavyompendeza Bwana.

Mimiks ni namba mbili. The same rule applies.

Hawa wawili wameonekana kuguswa zaidi na huu uzi. What does it entail?

Mawili, kama inawahusu kuwa ni 30s na hawajaolewa ni ukweli kwamba wana stress na hapa wanatumia kama sehemu ya kutolea stress. Laa, wameolewa, they are not happy with their marriages.

Mind you, mwanamke hawezi kuficha hisia zake. Akiwa na furaha utajua, akichukia utajua, akiwa stressed utajua. Hata kwa anachokiandika utagundua something is wrong.

So these dadas are passing through hard times....hapa watabisha tu si unajua bwana hii ni JF.

Ukitaka uzi watapike nyongo vijana wa kiume...andika kuwa mtu yuko 30 na hana cha maana anachomiliki. Hana nyumba, kiwanja, gari, mchumba (mwanamke anayeeleweka)....utakuta mzozo kama huu wadada. Kina kaka nao wakivutia upande wao....watakwambia maisha hayana formula....na vtu vya kujifariji fariji.


Mwisho kabisa. Vijana tufanye kazi kwa bidii. Ukimaliza chuo pambana within 2 years uwe superb tuwaoe hawa wadada. Sisi ndio chanzo, hatuwaoi, tunawazalisha tu...umri wao unasogea. Wanafika hiyo 30 kama sisi wenyewe kisha tunawacheka ila kimsingi ni kwamba tumeshindwa kuwaoa....sababu hatuna mali.

Ingawa wanawake wa 30yrs sio wa wanaume wa 30s....so kwa hili tuwalaumu mabrother wetu. Sisi (vijana wa late 20s na 30) wake zetu ni mid 1990s mpaka 2000...yaani 1995 kuja juu. Hao ndio wake zetu. Ila unaruhusiwa kuchukua "old cargo" pia, ikimpendeza Mungu na ikikupendeza.

Tchao
Old Cargo

Sema izo ndo zenyewe...
 
Nikija hapa jf nikisema kwamba "aagh nimechoka vyakula vya KFC" Kuna watu wataona kwamba hayo maisha ya kula KFC sina najikweza tuu ili nionekane matawi.
Same mimi nikija hapa nikisema vyakula vya mama ntilie vinaniumiza tumbo, nitakandiwa sana kwamba kwanini nakula mama ntilie nisiende sehemu classic ( watakuwa wameamini kweli nakula mama ntilie). Ila nikisema KFC wataona najikweza tuu. (KFC ni mfano tuu haimaanishi ndio best kwangu).

Mwanamke akicomment kuwakandia wanaume ataambiwa ana stress , ndoa yake haina furaha, au hataolewa na vitu kama hivyo.
Mwanamke akisifia wanaume ataonekana anajitongozesha , anatafuta bwana na vitu kama hivyo.

Jee mwanaume akimkandia mwanamke yeye hana stress?? Ndoa yake haina furaha?

Mbona hapa kwenye huu Uzi kuna makombora yanatok kwa wanaume kuja kwa wanawake lakini hamjichukulii kama na nyie mna stress ? Kama mahusiano yenu yana furaha hizo experience mbaya za wanawake mmezipata wapi?.

Yaani mpaka ifike mahali mtu aogope kucomment kwa sababu aki comment mabaya yatakuwa yanachukuliwa ndiyo maisha yake halisi, lakini aki comment mazuri hayachukuliwi ni maisha yake halisi inachukuliwa ni fantasy yake.

Mnasema huku jf watu tunafake maisha ila pale tuu ambapo tutakuwa tumeongelea mambo mazuri kama nyumba, magari, ndoa yenye furaha, kazi nzuri nk. Hapo ni kufake.

Ila tukizungumzia mabaya kama migogoro ya mahusiano, kulala njaa, kupanga uswahilini hapo inakuwa siyo kufake inakuwa ni kweli.


Smh..
Cc Lizarazu.
dah hongereni bana jana mumetuchazara vilivyo
 
Never waste your time, never let you go
Talk down, back-to-back, you're the best I know
Oh yeah, you dey blow my mind
Blow my mind, blow my mind
For your love, I go change my life
Change my life, change my life (yeah)
Ye gba, come here do your dance make I spend ego
Naona umeanza mashairi Sasa.
Mimi huwa sipendi mashairi
 
Nimegundua humu Marianah ndiye commentator mkuu. Anajibu na kupinga hoja zote....she has got an answer to every question. Sijui tumpe hongera au pole.

Itakavyompendeza Bwana.

Mimiks ni namba mbili. The same rule applies.

Hawa wawili wameonekana kuguswa zaidi na huu uzi. What does it entail?

Mawili, kama inawahusu kuwa ni 30s na hawajaolewa ni ukweli kwamba wana stress na hapa wanatumia kama sehemu ya kutolea stress. Laa, wameolewa, they are not happy with their marriages.

Mind you, mwanamke hawezi kuficha hisia zake. Akiwa na furaha utajua, akichukia utajua, akiwa stressed utajua. Hata kwa anachokiandika utagundua something is wrong.

So these dadas are passing through hard times....hapa watabisha tu si unajua bwana hii ni JF.

Ukitaka uzi watapike nyongo vijana wa kiume...andika kuwa mtu yuko 30 na hana cha maana anachomiliki. Hana nyumba, kiwanja, gari, mchumba (mwanamke anayeeleweka)....utakuta mzozo kama huu wadada. Kina kaka nao wakivutia upande wao....watakwambia maisha hayana formula....na vtu vya kujifariji fariji.


Mwisho kabisa. Vijana tufanye kazi kwa bidii. Ukimaliza chuo pambana within 2 years uwe superb tuwaoe hawa wadada. Sisi ndio chanzo, hatuwaoi, tunawazalisha tu...umri wao unasogea. Wanafika hiyo 30 kama sisi wenyewe kisha tunawacheka ila kimsingi ni kwamba tumeshindwa kuwaoa....sababu hatuna mali.

Ingawa wanawake wa 30yrs sio wa wanaume wa 30s....so kwa hili tuwalaumu mabrother wetu. Sisi (vijana wa late 20s na 30) wake zetu ni mid 1990s mpaka 2000...yaani 1995 kuja juu. Hao ndio wake zetu. Ila unaruhusiwa kuchukua "old cargo" pia, ikimpendeza Mungu na ikikupendeza.

Tchao
Utabaki tu kuguess.

Anyway mimi nakuaga tu ni mbishi. Hasa vitu ambayo havina fact. Yani mtu analeta opinion zake halafu ndio anataka iwe hivo kwa kila mtu. Tutabishana mpaka asubuhi. Sababu wewe utakua na opinion A na mimi B afu wote hatukubaliani.

Sipendi kuona watu wanasakamwa (wanasemwa semwa). Niko kama activist but I'm not. Nimekupa mfano uelewe. I like to speak for the weakest party (mfano: Kondakta wa dalada na wanafunzi, weakest party ni mwanafunzi).

Then hii mada imenikuta tuko in a long weekend. Nina muda wa kushika simu. Comment zangu nyingi (almost zote) ni reply ya mtu ambae nae amenijibu kitu.

I can say tokea nimeingia jamiii forum miaka kadhaa iliyopita sijawahi kujibu thread au kuwa involved in it kama this one. Na sio kwamba mada za hivi hazipo au hazijawahi kuletwa. Zipo nyingi lakini sikua na muda kama niliokua nao wiki hii .

Lastly, mimi nafurahia maisha yangu katika hali zote. Watu wanaonijua wanajua. Aidha nimeolewa au sijaolewa kwangu sioni kama kuna kitu kinapungua. Mimi sio kama wadada au watu wengi, they waiting for their better half to complete them. Mimi siishi hivo. Furaha yangu haitegemei mtu au watu. Iko ndani yangu.

Mimi ni mtu ambae nakasirika usiku asubuhi nakua mtu mwingine. I don't hold grudges and I don't let some external force control my happiness.
 
Nimegundua humu Marianah ndiye commentator mkuu. Anajibu na kupinga hoja zote....she has got an answer to every question. Sijui tumpe hongera au pole.

Itakavyompendeza Bwana.

Mimiks ni namba mbili. The same rule applies.

Hawa wawili wameonekana kuguswa zaidi na huu uzi. What does it entail?

Mawili, kama inawahusu kuwa ni 30s na hawajaolewa ni ukweli kwamba wana stress na hapa wanatumia kama sehemu ya kutolea stress. Laa, wameolewa, they are not happy with their marriages.

Mind you, mwanamke hawezi kuficha hisia zake. Akiwa na furaha utajua, akichukia utajua, akiwa stressed utajua. Hata kwa anachokiandika utagundua something is wrong.

So these dadas are passing through hard times....hapa watabisha tu si unajua bwana hii ni JF.

Ukitaka uzi watapike nyongo vijana wa kiume...andika kuwa mtu yuko 30 na hana cha maana anachomiliki. Hana nyumba, kiwanja, gari, mchumba (mwanamke anayeeleweka)....utakuta mzozo kama huu wadada. Kina kaka nao wakivutia upande wao....watakwambia maisha hayana formula....na vtu vya kujifariji fariji.


Mwisho kabisa. Vijana tufanye kazi kwa bidii. Ukimaliza chuo pambana within 2 years uwe superb tuwaoe hawa wadada. Sisi ndio chanzo, hatuwaoi, tunawazalisha tu...umri wao unasogea. Wanafika hiyo 30 kama sisi wenyewe kisha tunawacheka ila kimsingi ni kwamba tumeshindwa kuwaoa....sababu hatuna mali.

Ingawa wanawake wa 30yrs sio wa wanaume wa 30s....so kwa hili tuwalaumu mabrother wetu. Sisi (vijana wa late 20s na 30) wake zetu ni mid 1990s mpaka 2000...yaani 1995 kuja juu. Hao ndio wake zetu. Ila unaruhusiwa kuchukua "old cargo" pia, ikimpendeza Mungu na ikikupendeza.

Tchao
Yaani wanapenda kuambiwa kile wanachotaka kusikia tu yaani kwao mtu yeyote anayetetea single mothers basi na yeye ni single mother mtu yeyote anayetetea unmarried women basi na yeye ni unmarried woman mtu yeyote anayewaambia ukweli anaonekana anataka usawa au ushindani nao na mtu yeyote anayewaponda anaonekana ameshawahi kutendwa kwenye uchumba au ndoa

Mwanaume mwenzao akianzisha uzi wowote wa kuwaponda wanawake basi wanasema "ukisikia yalaa ujue limempata" yaani furaha yao ni kuona wanawake wote tunakubaliana na pumba na shudu wanazoongea kuhusu sisi halafu mbaya zaidi wanalazimisha ionekane kwamba wanawake tu tuna stress za mapenzi ila wanaume hawana na wala hawajawahi kuwa nazo kabisa ndiyo maana wote wanajitutumua humu

Kuna mmoja humu alinilazimisha nikubali eti kuwa mimi ni single mother nikamwambia oohh kumbe shida yako ni kusikia hivyo tu haya basi mimi ni single mother yaani nilivyomwambia hivyo alifurahi kweli akapata pa kutolea maneno yake nikaamua kujitolea tu kuwa trashcan ya stress zake ili afurahi na roho yake

Maana ndicho wanaume wengi humu wanachokitaka ukiponda tu hoja zao utaitwa majina yote mabaya sasa kwa vile mimi nimeshawajulia hata hawanisumbui nawapa makavu kama kawaida maana najua hata wakiniita hayo majina mabaya hayawezi kubadilisha ukweli wala uhalisia
Nadhani hii comment hujaisoma
 
Utabaki tu kuguess.
Anyway mimi nakuaga tu ni mbishi. Hasa vitu ambayo havina fact. Yani mtu analeta opinion zake halafu ndio anataka iwe hivo kwa kila mtu. Tutabishana mpaka asubuhi. Sababu wewe utakua na opinion A na mimi B afu wote hatukubaliani.
Sipendi kuona watu wanasakamwa (wanasemwa semwa). Niko kama activist but I'm not. Nimekupa mfano uelewe. I like to speak for the weakest party (mfano: Kondakta wa dalada na wanafunzi, weakest party ni mwanafunzi).
Then hii mada imenikuta tuko in a long weekend. Nina muda wa kushika simu. Comment zangu nyingi (almost zote) ni reply ya mtu ambae nae amenijibu kitu.
I can say tokea nimeingia jamiii forum miaka kadhaa iliyopita sijawahi kujibu thread au kuwa involved in it kama this one. Na sio kwamba mada za hivi hazipo au hazijawahi kuletwa. Zipo nyingi lakini sikua na muda kama niliokua nao wiki hii .
Lastly, mimi nafurahia maisha yangu katika hali zote. Watu wanaonijua wanajua. Aidha nimeolewa au sijaolewa kwangu sioni kama kuna kitu kinapungua. Mimi sio kama wadada au watu wengi, they waiting for their better half to complete them. Mimi siishi hivo. Furaha yangu haitegemei mtu au watu. Iko ndani yangu.
Mimi ni mtu ambae nakasirika usiku asubuhi nakua mtu mwingine. I don't hold grudges and I don't let some external force control my happiness.
vizuri
 
Back
Top Bottom