Julius Husseni
JF-Expert Member
- Sep 9, 2016
- 1,364
- 1,078
Wakuu imekaaje hii.. Au Nani amewai tokewa na haya mambo.. Tulishindwana tukiwa first year vyuo tofauti.. Sasa sa chache zilizopita nikaitrace namba yake Maana nilizifutaga.. Ikabidi nimcheki hewani.. E bwana eee huezi amini tupo mtaa m1.. Alfu dogo alikua ananikubali saana..
Chanzo cha kuachana ni different lifestyle tu.. Wala si kingine.. Natamani nihamie mtaa wa 9 huko ujue lolote laweza tokea mapenzi hayana Maana haya.. Naombeni maoni yenu
Sent using Jamii Forums mobile app
Chanzo cha kuachana ni different lifestyle tu.. Wala si kingine.. Natamani nihamie mtaa wa 9 huko ujue lolote laweza tokea mapenzi hayana Maana haya.. Naombeni maoni yenu
Sent using Jamii Forums mobile app