Karibu kila mwanafunzi kuanzia kidato cha kwanza hadi cha sita, akiwa wa kike unakuta ana boyfriend wake na wale wa kiume nao wanao magirlfriend wao, wachache hawana kabisa,labda niwaulize kwanza wanafunzi wenyewe je ? faida gani mnapata toka kwenye huo uhusiano?Inawasaidia kwenye masomo kimaendeleo? Halafu niwaulize wazazi wenu,je mzazi unaruhusu mtoto wako awe na boyfiend au girlfriend shuleni? Kwanini?