Girl Friend wa Rafiki Yangu Ni Mchina..

Bujibuji Simba Nyamaume

JF-Expert Member
Feb 4, 2009
74,462
154,332
Jamaa yangu Mwinsheikh Mwinyihaji Omary amepata msichana wa Kichina anayemiliki duka la kuuza maua kariakoo.
Mchina wa Mwinsheikh hajui kabisa Kiingerza ila Kiswahili anajitahidi kidogo.
Kila siku wakitoka kwenye duka lao la maua wanaenda kwenye migahawa ya Kichina, huko huyo binti hujumuika na Wachina wenzake, wanaongea kichina mwazo mpaka mwisho huku wakimuacha jamaa yangu anatumbua macho kama amenusurika kupigwa na bomu la mbagala.
Jana jamaa akawa amaechoshwa na tabia hiyo sugu ya msichana wake, akamwambia demu wake kuwa anataka kumpeleka kwenye migahawa ya Kitanzania.
Tukakutana pale Kijiji cha Makumbusho, tukawa tunapiga zetu story. Binti wa Kichina akaona maji yamezidi unga akamwambia bwana ke "turudi kwa wachina wenzangu na mimi nikaongee"
Jamaa akamwambia ulivyojisikia wewe ndivyo ninavyojisikia mimi tukiwa na wachina wenzako"
Wito wangu kwenu wana mapenzi:-
Mwenzio akikukwaza mweleze, wala usiweke moyoni wala usipange kumrudishia kisasi.
 
Mmh kazi ipo mwambie ajifunze na karate kabsaaaaaaaa,ila ka kwetu ni wazuri zaidi unatakiwa tupende vyetu kwanzA,CHINES PRODUCT ZA NN?KWANZA FEKI
 
Mmh kazi ipo mwambie ajifunze na karate kabsaaaaaaaa,ila ka kwetu ni wazuri zaidi unatakiwa tupende vyetu kwanzA,CHINES PRODUCT ZA NN?KWANZA FEKI
hahahahahahahahahahaahhahahah jamaaaaaa wa BujiBuji kaaaaaamuuaaaaaa kuangalia je na maloveeeeeee wachinaaaaaaa wanayoooooooooooo fekiiiiiii kama bidhaaaaaaaa zao zilivyo fekiiiiiiiiiiiiiii? Ngoja akakute anauza majiiiiiiiiiiiiiiiii!!!!! hahahahaha
 
Inaonekana wewe na jamaa yako wote hamuwajui madem wa kichina. Kama kweli kuna suala la mapenzi mchina atakupelekesha mpaka umbebee pochi lake,umbebe na yeye mkiwa mnatembea etc. waulize wanaowajua watakwambia. Afterall kama hujui kichina kabisa kumpata mchina sahau!!! ni hao, ni hao kwa sana mpaka kieleweke. hahahaha
 
inaonekana wewe na jamaa yako wote hamuwajui madem wa kichina. Kama kweli kuna suala la mapenzi mchina atakupelekesha mpaka umbebee pochi lake,umbebe na yeye mkiwa mnatembea etc. Waulize wanaowajua watakwambia. Afterall kama hujui kichina kabisa kumpata mchina sahau!!! Ni hao, ni hao kwa sana mpaka kieleweke. Hahahaha
hiyo iliyocharangwa kwa wino mwekundu imeniacha hoi bin taaban.
 
Inaonekana wewe na jamaa yako wote hamuwajui madem wa kichina. Kama kweli kuna suala la mapenzi mchina atakupelekesha mpaka umbebee pochi lake,umbebe na yeye mkiwa mnatembea etc. waulize wanaowajua watakwambia. Afterall kama hujui kichina kabisa kumpata mchina sahau!!! ni hao, ni hao kwa sana mpaka kieleweke. hahahaha

Kwenye bold hapo mkuu utakua umetia chumvi mno aisee!
 
kwenye bold hapo mkuu utakua umetia chumvi mno aisee!

imenikumbusha stori za zamani za mama na mwana, jamaa lioa mwanamke kumbe yule mwanamke alikuwa jini, akamwambia nibebe jamaa akambeba mkewe (ambaye ni jini) basi yule mwanamke akawa anamchoma yule mumuwe (mbebaji) mbavuni.. Hadi damu zikawa zinatiririka lakini jamaa akawa anaendelea kumbeba.
Huenda naye mwenzetu alishawahi kuwa na mamsapu wa kichina, akawa anambeba usiku na mchana.
 
imenikumbusha stori za zamani za mama na mwana, jamaa lioa mwanamke kumbe yule mwanamke alikuwa jini, akamwambia nibebe jamaa akambeba mkewe (ambaye ni jini) basi yule mwanamke akawa anamchoma yule mumuwe (mbebaji) mbavuni.. Hadi damu zikawa zinatiririka lakini jamaa akawa anaendelea kumbeba.
Huenda naye mwenzetu alishawahi kuwa na mamsapu wa kichina, akawa anambeba usiku na mchana.

Kama anaongea out of experience sasa hapo sina comment.
 
Kwenye bold hapo mkuu utakua umetia chumvi mno aisee!

Ki ukweli is not a joke,kubebana ni sehemu ya mapenzi ya kichina hasa penzi likiwa changa.Ingawa mara nyingi ni wanaume wanaobeba mademu zao lakini wakati mwingine mamsapu anakubeba.kubebana huku si kwa kutoka mbagala mpaka mwenge,just a short distance kuonesha unajali.Tatizo lingine la mabinti wa kichina,wanadeka haoo sijui ni kwa sababu wengi wao ulelewa na mabibi na mababu zao.
 
ki ukweli is not a joke,kubebana ni sehemu ya mapenzi ya kichina hasa penzi likiwa changa.ingawa mara nyingi ni wanaume wanaobeba mademu zao lakini wakati mwingine mamsapu anakubeba.kubebana huku si kwa kutoka mbagala mpaka mwenge,just a short distance kuonesha unajali.tatizo lingine la mabinti wa kichina,wanadeka haoo sijui ni kwa sababu wengi wao ulelewa na mabibi na mababu zao.


wazazi wao kwanini wanawapeleka watoto kulelewa na bibi na babu zao?
 
Ki ukweli is not a joke,kubebana ni sehemu ya mapenzi ya kichina hasa penzi likiwa changa.Ingawa mara nyingi ni wanaume wanaobeba mademu zao lakini wakati mwingine mamsapu anakubeba.kubebana huku si kwa kutoka mbagala mpaka mwenge,just a short distance kuonesha unajali.Tatizo lingine la mabinti wa kichina,wanadeka haoo sijui ni kwa sababu wengi wao ulelewa na mabibi na mababu zao.

Nafikiri kingine kinachochangia ni size ya miili yao. Unafikiri dada zetu hawa jinsi wanavyofungasha utambeba utaweza?? Mbona huku bongo wanaume wa kichina wanachukua dada zetu lakini hatujaona wakiwabeba? Jamaa mwenyewe ana 52Kg, dada wa kibongo ana 82kg.atamuweza?
 
nafikiri kingine kinachochangia ni size ya miili yao. Unafikiri dada zetu hawa jinsi wanavyofungasha utambeba utaweza?? Mbona huku bongo wanaume wa kichina wanachukua dada zetu lakini hatujaona wakiwabeba? Jamaa mwenyewe ana 52kg, dada wa kibongo ana 82kg.atamuweza?


kwani wanatafuta wasichana kwenye mageti makali?
Si huwa wanawakuta baa, sehemu za starehe, kwenye shopping malls, na sehemu za kazi?
Hivyo basi wanaamini kuwa dada zetu wamewashobokea kwa kuwa wao ni wageni na pia wana pesa, hivyo basi wazami dimbwini kiukweliukweli maana wachina wote wanajua kuwa mademu wabongo ni wezi ile mbaya.
 
Nafikiri kingine kinachochangia ni size ya miili yao. Unafikiri dada zetu hawa jinsi wanavyofungasha utambeba utaweza?? Mbona huku bongo wanaume wa kichina wanachukua dada zetu lakini hatujaona wakiwabeba? Jamaa mwenyewe ana 52Kg, dada wa kibongo ana 82kg.atamuweza?

I can agree with that,unajua ubunifu wa mwanadamu siku zote uendana na mazingira pia.But they seem to enjoy that hasa mabinti.
 

Similar Discussions

0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom