Penguini
JF-Expert Member
- Apr 24, 2013
- 377
- 293
Rafiki ni rafiki tu, awe wa kike au wa kiume ni rafiki; "we are friends" basi!
Ila kwa kuseparete jinsia zao kunajenga kitu kingine yaani urafiki wa kijinsia. Haya ni maneno ya kizungu yaliyotokana na tabia zao ingawa siamini kama wanayatumia maneno hayo kama sisi na ndipo napata swali.
Je, tunapoyatumia sisi waafrika ni sawa?
Na hasa watanzania.
Je, kuna Mila desturi au utamaduni wa kabila lolote la tanzania inayosapoti maneno hayo ya kizungu au ni uzungu umeingia kwetu na hivyo kila mwenye kuiga ya kizungu anaweza kuiga?
Ila kwa kuseparete jinsia zao kunajenga kitu kingine yaani urafiki wa kijinsia. Haya ni maneno ya kizungu yaliyotokana na tabia zao ingawa siamini kama wanayatumia maneno hayo kama sisi na ndipo napata swali.
Je, tunapoyatumia sisi waafrika ni sawa?
Na hasa watanzania.
Je, kuna Mila desturi au utamaduni wa kabila lolote la tanzania inayosapoti maneno hayo ya kizungu au ni uzungu umeingia kwetu na hivyo kila mwenye kuiga ya kizungu anaweza kuiga?