msold msward
JF-Expert Member
- Oct 10, 2016
- 595
- 202
Huyu demu SIO anakatika sema anajitingisha tu
Kwnini wasema sio wote?Sio waote lakn
Msanii Gigy money balaa lake la kukata mauno EATV ni hatari sana, queen mwenye confidence ya ajabu anasifika zaidi kwa kuvaa mavazi yenye utata na muonekano wa ukweli haya kwa wasanii wenzake.
Big up Gigy money endelea kufanya kweli.
Huoni tako hlo mkuu auHuyu demu SIO anakatika sema anajitingisha tu
Haaa ww umetshaWazazi wangejua watoto wao watakuja kuwa nani mimba nyingi zingetolewa.
Hadija kopa, Martha Mlata, Prof. Maji Marefu, Mrs. Kikwete, hao walikuwa na mchango gani mpaka wakawa wabunge?Kwa hii comment ni dhahiri watanzania ni malimbukeni wa umaarufu.
Mtu hachaguliwi kwa umaarufu au mapenzi/love binafi na mtu bali anachaguliwa kama anaiweza shughuli husika.
Kwa namna hii bongo tutaendelea na mawazo mgando kama haya kwa zaid ya miaka 300
Hadija kopa, Martha Mlata, Prof. Maji Marefu, Mrs. Kikwete, hao walikuwa na mchango gani mpaka wakawa wabunge?
Na kweliKama makalio yake ndio yanampa hela acha atingishe tu