ARCHBISHOP
JF-Expert Member
- Jan 15, 2012
- 271
- 484
Ndugu zangu leo katika pita pita zangu nikakutana na video ya mwana dada maarufu hapa mjini Giggy Money akigombana na mjumbe nyumbani kwake. Kilichonistua ni mwonekano wa hajabu, yaani mbaya kuliko hata house girl wangu.(Hapa nika salute meke up)
Pili nikashangaa kuona nyumba na mazingira anayokaa haviendani na mambo anayoyasemaga katika videos tofauti, eti wigi langu Mil.6 sijui nakaa nyumba ya Mil.8 kwa mwaka. Aisee hawa wasanii wanaigiza mpaka maisha yao? Acha nilale kumbe niko vizuri mara mia kuliko hawa watu wa mapicha picha
Pili nikashangaa kuona nyumba na mazingira anayokaa haviendani na mambo anayoyasemaga katika videos tofauti, eti wigi langu Mil.6 sijui nakaa nyumba ya Mil.8 kwa mwaka. Aisee hawa wasanii wanaigiza mpaka maisha yao? Acha nilale kumbe niko vizuri mara mia kuliko hawa watu wa mapicha picha