Gigy Money amponda Alberto Msando kuhusu video iliyovuja akimpima oil

Status
Not open for further replies.
Mkuu don't try to underestimate him.. He is a classic guy, I know him in personal.. Tatizo lake pekee ni kuutaka ustar kwa nguvu na kuwaona mastar kama miungu watu hivi..
Hilo 'tatizo lake pekee' ulilolitaja tayari linamuondolea hiyo class unayompa.
 
Ohooo not to all woman alafu his kwamba wanawake wengine never look how wealth u are eg zari n ivan
 
Leo ni siku ya kilele cha Mahakama Tanzania, jumuhiya, wadau wa tasnia ya Sheria nchini waadhimisha week ya mahakama.

Mwanasheria au wakili (msomi) Albert Msando kaharibu kama si kujishushia hadhi na kuwadhalilisha mawakili wenzake na jamii kwa ujumla.

Acha sinema hii ijieleze hapa 👇 ...

 
mwasu kulikuwa na demu mmoja apo udsm alikuwaga anatoka na beto, jaman yule mdada ni kama vile Mungu alimtapika kutoka kwenye kinywa cha haya maumivu.
hope Tina unaenjoy maisha yako ya ndoa, na haya maumivu yamekupita. Mungu azidi kukutunza na ndoa yako.

Jack mdogo wangu umefika wakati sasa wa kutulia chini uanze kusali sana Mungu aokoe ndoa yako. tayari una mtoto mzuri handsome wa nguvu. usitake huyu shetani amfanye achukie kuzaliwa na nyie. kama mama unaweza kufanya jambo. piga goti sali sana ombea ile neema ya wokovu ije nyumbani kwako.
Huyo unaemsifia na ndoa ya maana unajua ndoa yenyewe ilishavunjika na mvunjaji ni huyo huyo anaeongelewa hapa?
 
Huyu Msando si kaoa jamani? Uchafu gani huu?
Kiukweli hapa tu ndipo huwa nshindwa kuwaelewa wanawake wenzangu. Mwanaume pamoja na uchafu huu bado atakuwa proud nae! Dah
Sifa ya mtu alie ktk ndoa lazima ajiheshimu Msando kama kafanya hayo awezi kua baba bora!Alafu mwanamke mwenyewe amfikii mkewe kwa uzuri GIGY sio mwadamu ni jini mtaka damu
 
Leo ni siku ya kilele cha Mahakama Tanzania, jumuhiya, wadau wa tasnia ya Sheria nchini waadhimisha week ya mahakama.

Mwanasheria au wakili (msomi) Albert Msando kaharibu kama si kujishushia hadhi na kuwadhalilisha mawakili wenzake na jamii kwa ujumla.

Acha sinema hii ijieleze hapa 👇 ...

View attachment 1348276
AISEE NIMEPENDA SANA HAKO KA SAUNDI TRAKI
 
Kuna waheshimiwa tena above 60s ambao wanapenda threesome,foursome na orgy balaa. Watoto wa CBE,IRDP,UDOM,SJUIT & LGTI - Hombolo wanalijua hili. Kuna mlupo wangu enzi za 1999 alimblackmail mhe. mmoja kwa video ya foursome,akalamba 10 Mil by then,now yupo SA anafanya biashara zake huko.
...Dah!... kudadadeki!! 🤫🤫🤫
 
Status
Not open for further replies.
2 Reactions
Reply
Back
Top Bottom