- Thread starter
- #61
katika uchaguzi wa 2010 wanachama wengi wa CCM ndio walioipigia kura chadema sababu zilizo wasukuma kuipigia kura sijui ni kuchoshwa na chama chao au imani? wao wanajua zaidi, lakini sasa wanaamua kuachana na chama chao na kujiunga rasmi na CDM, kwa hiyo kinachofanyika sasa ni wanachama wa CCM ambao ndio walioiwezesha kupata kura 2200,000 sasa wameamua kujivua gamba na kujiunga CDM, kwa hiyo katika uchaguzi ujao chadema wasipofanya uchunguzi vizuri inaweza ikapata kura hizi hizi za wanachama wake waliotoka CCM.
Ni kweli aisee.Na kuthibitisha hilo kura CDM walizopata Arumeru na Igunga ndio kura hizo hizo wamepata kwenye chaguzi ndogo.