green rajab
JF-Expert Member
- Oct 16, 2015
- 11,305
- 35,852
- Thread starter
- #21
.
Kabisa mkuuIkulu imekuwa ya Walanguzi
Nchi ipo mikononi mwa Wafanyabiashara na mapandikiziYaani mpaka soda jamanii,jua linavyochoma mpaka kwenye figo unaenda kwa mangi kununua pepsi uyapoze maini,bandama na koromeo unaambiwa 600 daah,hapo una jero lako la ngama hilo hilo,