ThisisDenis
Senior Member
- Apr 14, 2013
- 149
- 129
Napata shida kujua ni gharama kiasi gani nitatozwa, kwa kila ninae muuliza ananipa majibu ya kunivunja moyo.
Wengi wao wanadai nikiagiza kutoka nje yaani amazon au ebay gharama za tozo nchini Tanzaniani kubwa kuliko gharama nilizo nunulia.
Naomba msaada kwa hili tafadhali?
Wengi wao wanadai nikiagiza kutoka nje yaani amazon au ebay gharama za tozo nchini Tanzaniani kubwa kuliko gharama nilizo nunulia.
Naomba msaada kwa hili tafadhali?