Gharama za umeme: Rais Samia muwajibishe Waziri Kalemani na uongozi wote wa TANESCO

Nilitaka nikutukane nimekosa neno la kukuambia

Acha nikusaidie hili jamaa ni jinga sana..

Yaan haliangalii hao matajir ni wangapi tz nzima na masikin walio shindwa kulipa iyo lak Tatu ni wangapi mpk leo....sisi matanzania tuna roho mbaya sana yan maisha yana rahisishwa mwingine anainga jinga sana hilo
 
Mleta mada kafikiria nje ya boksi.
Mbona ilitakiwa iwe bure kabisa ili iwe na wateja wengi ndo mapato yataongezeka. Kumbuka makampuni ya simu yamewahi gawa kadi bure ili kuongeza wateja. Vodacom wao wakaenda mbali zaidi wakati wanaanzisha huduma za miamala ilikuwa ukiweka kiasi Fulani Cha hela unaongezewa % Fulani. Nimeambie kampuny gani hapa nchini inaongoza kuaminiwa kwenye miamala jibu ni Vodacom hivyo hata tanesco ikiwa na wateja wengi mapato yatakuwa Mara dufu.
Pia hata Bei ya matumizi inatakiwa iwe sawa na kule kijijini.
 
Ukiunganisha wengi utapata mapato.

Tanesko itakufa kwa kutegemea mapato ya kuunganisha umeme.

Kinachotakiwa wateja waunganishiwe haraka ili walipie bili na kutumia(hapa ndipo mapato yalipo)

by the way umeme huo wa 27000 ni single phase
Ooh
 
Nipo kwenye rekodi hapa ya kumtetea waziri Kalemani huko nyuma lakini leo naomba Rais Samia amfukuze tena ikibidi haraka Sana huyu waziri.

Huyu waziri anafanya siasa za hatari za kujifanya 'mtetezi wa wanyonge aliebaki'. Itasababisha TANESCO huko mbeleni ishindwe kujiendesha wala kulipisha wateja wake gharama halisi za Umeme.
Mkuu The Boss , hongera, sana, this is works of power!.
P
 
Mleta mada kafikiria nje ya boksi.
Mbona ilitakiwa iwe bure kabisa ili iwe na wateja wengi ndo mapato yataongezeka. Kumbuka makampuni ya simu yamewahi gawa kadi bure ili kuongeza wateja. Vodacom wao wakaenda mbali zaidi wakati wanaanzisha huduma za miamala ilikuwa ukiweka kiasi Fulani Cha hela unaongezewa % Fulani. Nimeambie kampuny gani hapa nchini inaongoza kuaminiwa kwenye miamala jibu ni Vodacom hivyo hata tanesco ikiwa na wateja wengi mapato yatakuwa Mara dufu.
Pia hata Bei ya matumizi inatakiwa iwe sawa na kule kijijini.

Je baada ya hiyo bei kushuka takribani Miezi mitatu sasa wateja wana unganishiwa umeme Kwa wakati?? Tanesco Kama taasisi walikuwa na maandalizi na hii bei mpya?? Je Tanesco Kwa ujumla wake Hali yake ya uchumi ikoje?? Ukipata haya majibu utakuwa Kwenye nafasi ya kutetea hicho unacho kisema?
 
Mleta mada kafikiria nje ya boksi.
Mbona ilitakiwa iwe bure kabisa ili iwe na wateja wengi ndo mapato yataongezeka. Kumbuka makampuni ya simu yamewahi gawa kadi bure ili kuongeza wateja. Vodacom wao wakaenda mbali zaidi wakati wanaanzisha huduma za miamala ilikuwa ukiweka kiasi Fulani Cha hela unaongezewa % Fulani. Nimeambie kampuny gani hapa nchini inaongoza kuaminiwa kwenye miamala jibu ni Vodacom hivyo hata tanesco ikiwa na wateja wengi mapato yatakuwa Mara dufu.
Pia hata Bei ya matumizi inatakiwa iwe sawa na kule kijijini.

Kulinganisha talatibu Za jinsi kampuni za simu zinavyo unganisha wateja na TANESCO talatibu Za kuunganisha wateja ni vitu viwili tofauti.Pia ukilinganisha thamani ya line ya simu na na thamani za material tanayo tumika ili mteja wa umeme aunganishiwe umeme ni vitu viwili tofauti.Mteja wa simu una nunua simu wewe Kwa hela yako ila mteja wa Tanesco upewe Kwa hela hiyo??
 
umeme ni basic needs.
Ila kwa Tanzania Sasa imekuwa anasa.
Umeme wa rea ulikuwa wa msaada.
 
neno umeshalipata?

7B5712CA-199D-44EC-99FE-24D055DE752E.jpeg
 
Ukiunganisha wengi utapata mapato.

Tanesko itakufa kwa kutegemea mapato ya kuunganisha umeme.

Kinachotakiwa wateja waunganishiwe haraka ili walipie bili na kutumia(hapa ndipo mapato yalipo)

by the way umeme huo wa 27000 ni single phase
Ha ha
 
Back
Top Bottom