mtanzania1989
JF-Expert Member
- May 20, 2010
- 4,064
- 6,733
Haya ndio makadirio ya ukweli, tena hapo awe anafuatilia kutoibiwa...Ukitaka kujua lumpsum, utakata tamaa!! We, andaa 21-25M kwa ajili ya msingi.
M 10 kwa ajili ya boma, M 21-30 kwa ajili ya slab, M 8 kwa ajili ya boma la juu.. M 20 kwa ajili ya paa.
Finishingi itategemea na wewe.
Finishing inategemea na yeye anachotaka.