C.T.U
JF-Expert Member
- Jun 1, 2011
- 5,070
- 3,718
WAKUU HABARI ZENU ebwana nilikuwa najaribu kuangalia picha za hii nyumba inayopatikana hapa palo alto calofonia but nikawa nafikiria hii nyumba japokuwa ni kind expensive huku kibongo bongo kama nikichukua mafundi wanaweza tengeuneza kwa gharama nafuu so wakuu kwa yeyote mwenye kujua hawa mafundi pliz aaniambie hii kitu kibongo bongo minimua na maximum inaweza kuwa ni sh ngapi???
coz naona most of things ni vyoo...
na mbao so nahisi itakuwa kind of cheap a very simple but classic house i like it....
wakuu mawazo yenu ni muhimu katika hili
coz naona most of things ni vyoo...
na mbao so nahisi itakuwa kind of cheap a very simple but classic house i like it....
wakuu mawazo yenu ni muhimu katika hili