Bwegemsela
Member
- Aug 30, 2019
- 59
- 82
Habari za jioni wana jamvi mm ni kijana wa kitanzania ambaye napambana na hili janga la umasikini, nina bajeti ya 50ml nahitaji kujenga Lodge ya kiwango cha kati Room zisizopungua 7 reception na counter vyumba vyote self, gharama za kiwanja pembeni, naombeni wajuzi mnisaidie kwa ushauri na maelekezo pia