Gharama za ujenzi wa copper smelter plant

dollar imeshuka uko Europe c Tanzania acheni ukenge $4b c hela za Zimbabwe akili kubwa isipotumika itakula kwetu
 
Nikichukua mfano kutokea Indonesia wao kufikia mwaka 2020 wameingia mkataba wa ujenzi wa copper smelter plant 2 na inaenda kugharimu kiasi cha $4 billion hii ni taarifa ya maofisa wa serikali,,, baada ya mazungumzo kati ya serikali ya indonesia na shirikanla Freeport / miner and jakarta.

Freeport should build two new Indonesia copper smelters by 2020 -govt
vitu vingine vya ku google tu, hizi research za kujenga au kuuza zilishafanyika siku nyingi, ona hapa http://www.teck.com/media/CESL-Publication-Copper-On-Site-vs-Cu-Con-Sales-Alta-2005.pdf
 
Tumia akili , sio kuleta mabandiko bila proper assessment. Kukupa mfano utakao kuisaidia:

Ukinunua gari ya 4 cylinder na ya 6 cylinder bei zao ni tofauti na power zao ni tofauti. Smelters ziko za kila size.

What we need is that with a capacity that will last our estimated production for at least20 years na hilo linawezekana.
 
Unavyotoa gharama toa na uwezo wa machine ikiwezekana hata na teknolojia ili kuweza kufanya uwiano sahihi. Kama smelter moja yenye uwezo wa 600,000 times kwa mwaka ni wastani wa 2bn $ basi yenye uwezo wa 60,000tonnes haiwezi zidi 400ml $.
 
Ni kweli tunaimudu, si unaona kila kijiji kimepewa milioni 50 na sasa hawajui wazitumieje, hivyo ni bora zikarudishwa ili tufyatue huu mtambo.
Tunaimudu kabisa maana kama tunaweza kujenga matanuru ya matofari ya kuchoma na kuchoma mikaa tunashindwa vipi kujenga tanuru la gold, simpo sana
yeah man...

what gwan we kiant do?
wit weed, da ganja rydm we kian do al da tingz man
 
Back
Top Bottom