nimbagonza
JF-Expert Member
- Jun 15, 2015
- 1,023
- 716
Natumaini hamjambo wana jukwaa.
Samahani naomba mwenye utaalamu anisaidie gharama za kuweza kufuga kuku wa broiler kiasi tajwa hapo juu, tangu wk ya kwanza mpk ya mwisho, kuanzia manunuzi ya vifaranga, chakula, maji, umeme na chanjo banda liko tatyari
Asanteni.
Samahani naomba mwenye utaalamu anisaidie gharama za kuweza kufuga kuku wa broiler kiasi tajwa hapo juu, tangu wk ya kwanza mpk ya mwisho, kuanzia manunuzi ya vifaranga, chakula, maji, umeme na chanjo banda liko tatyari
Asanteni.