Uchaguzi 2020 Sheria ya Gharama za Uchaguzi inasemaje? Nimepata mashaka baada ya CCM kufika Kigoma

Tigershark

JF-Expert Member
Oct 9, 2018
7,051
12,560
Hili swali halikuwahi kunifika mpaka mgombea urais wa CCM kufika Kigoma. Mambo yalikuwa hivi:

*Magari kama Coaster na mabasi yalikodiwa kuchukua wananchi kutoka vijiji mbalimbali. Nina rafiki yangu ambaye gari zake zote zilikodiwa kwa kazi hiyo!

* Wananchi wote waliopakiwa kwenye magari hayo kwenda kwenye uwanja wa kampeni waligawiwa tshirt na vipepereshu vya CCM bure!

* Boda boda walipewa T-shirt na namba ambayo waliitumia kujazia mafuta kwenye sheli!

* Wasanii hulipwa kiasi gani kwa mkutano mmoja? Kama kumbukumbu zangu ziko sawa, 2015 diamonda na alikiba walikuwa wanapata mil 15! Sijui na wasanii wengine mil 5 kwa mil 2 kulingana na ukubwa wao,sijui kwa sasa wanalipwaje.

* Nimeshuhudia msafara wa magari zaidi ya 60 katika msafara wa mgombea urais.

* Mengine unaweza ukaongeza wewe kama vifaa,chakula,posho za msululu wa watu nk.

Hivi kweli gharama za uchaguzi zinazingatiwa na kwa mujibu wa NEC. Gharama hizi zinapaswa zisizidi kiasi gani kwa mwaka huu wa uchaguzi?
 
Unauliza NEC ya Nchi au NEC ya CCM, kama ya ni NEC ya CCM basi wanatumia ruzuku na pesa za uanachama. Kama NEC ya Nchi basi rejea majukumu yao ikiwemo kusimamia maadili, vigezo na sifa za wagombeaji, uchaguzi huru na haki.

Hayo matumizi ya pesa ni kutokana na vyanzo binafsi vya vyama vya siasa so sio level ya NEC ya Nchi.
 
Unauliza NEC ya Nchi au NEC ya CCM, kama ya ni NEC ya CCM basi wanatumia ruzuku na pesa za uanachama. Kama NEC ya Nchi basi rejea majukumu yao ikiwemo kusimamia maadili, vigezo na sifa za wagombeaji, uchaguzi huru na haki.

Hayo matumizi ya pesa ni kutokana na vyanzo binafsi vya vyama vya siasa so sio level ya NEC ya Nchi.

Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
Mkuu kwenye sheria za Tume ya uchaguzi kuna form ya gharama za uchaguzi,au hilo hulifahamu?
 
Mkuu kwenye sheria za Tume ya uchaguzi kuna form ya gharama za uchaguzi,au hilo hulifahamu?
Mkuu, kinadharia ipo hivyo. Lakini ki-uhalisia, sio hivyo. Hata kwenye michezo, huwa tunaona limit za matumizi huko kwa wenzetu. Hapa, kwetu, mmmmmm! Tunashuhudia misafara ya Majaliwa, Sumia, yote ikiwa imebeba gharama, ambazo zinavuka ile sheria. Ukija kwa BABA LAO, ndiyo usiseme. Lundo la magari, wakati huo huo kuna ndege inafuatilia msafara kwa juu!
Kifupi, ni mpambano wa mtu aliye huru, akipambana na aliyefungwa mikono na miguu.
 
Wenzio wanazo zaidi ya Trillion 1.5+Ruzuku ya Bilioni+ na zingine ni zile za vitambulisho vya Wamachinga+Fedha za mafisadi waliosamehewa+10% za ndege,sgr,Stieglitz Gorge nk.Tume inatakiwa itoe makisio yanayokaribiana na Total ya niliyoainisha hapo huu ili kusiwe na ukiukwaji kwa CCM.

Haya yangefanywa na wapinzani Nina uhakika wangeshafutwa kugombea.Fikiria walioenguliwa kwa makosa ya kubumba vs ukiukwaji huu wa maadili ya uchaguzi na kujiuliza Haki inatendeka?

Watanzania kama hatufahamu kusoma hata picha hatuoni au masikio yetu hayasikii vilio hivi?Tunatakiwa kupaaza sauti zetu tuchague viongozi waadilifu,ambao huko CCM Mpya ni wachache au hawapo kabisa.Jukumu letu ni kupiga kura na kuzilinda dhidi ya uchakachuaji ili Haki za mpiga kura ziheshimiwe na kutangaziwa washindi halali wa Udiwani,Ubunge na Rais.Isiwe kinyume chake na hatuzuuliwi kulinda kura maana si makosa.
 
Mkuu, kinadharia ipo hivyo. Lakini ki-uhalisia, sio hivyo. Hata kwenye michezo, huwa tunaona limit za matumizi huko kwa wenzetu. Hapa, kwetu, mmmmmm! Tunashuhudia misafara ya Majaliwa, Sumia, yote ikiwa imebeba gharama, ambazo zinavuka ile sheria. Ukija kwa BABA LAO, ndiyo usiseme. Lundo la magari, wakati huo huo kuna ndege inafuatilia msafara kwa juu!
Kifupi, ni mpambano wa mtu aliye huru, akipambana na aliyefungwa mikono na miguu.
Hata hizo nadharia zipo kisheria na NEC inajukumu la kuweka viwango vya matumizi,hicho kiasi au aina ya gharama zimewekewa ukomo.Mleta mada alimaanisha ukubwa wa matumizi yanayoendelea sasa kwenye kampeni za watawala,ukubwa wake ni halali bado kwa mujibu wa maadili ya uchaguzi?
Huu siyo ufujaji wa Mali ya umma?Tumeona viongozi wa serikali wakiwa ndani ya hizi kampeni huku wakitumia raslimali za umma siyo upendeleo?
Naamini hawatamjibu mleta mada.
 
Unauliza NEC ya Nchi au NEC ya CCM, kama ya ni NEC ya CCM basi wanatumia ruzuku na pesa za uanachama. Kama NEC ya Nchi basi rejea majukumu yao ikiwemo kusimamia maadili, vigezo na sifa za wagombeaji, uchaguzi huru na haki.

Hayo matumizi ya pesa ni kutokana na vyanzo binafsi vya vyama vya siasa so sio level ya NEC ya Nchi.

Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
Umekaririshwa ujinga na wewe ukakariri upuuzi.
 
Hili swali halikuwahi kunifika mpaka mgombea urais wa CCM kufika Kigoma. Mambo yalikuwa hivi:

*Magari kama Coaster na mabasi yalikodiwa kuchukua wananchi kutoka vijiji mbalimbali. Nina rafiki yangu ambaye gari zake zote zilikodiwa kwa kazi hiyo!

* Wananchi wote waliopakiwa kwenye magari hayo kwenda kwenye uwanja wa kampeni waligawiwa tshirt na vipepereshu vya CCM bure!

* Boda boda walipewa T-shirt na namba ambayo waliitumia kujazia mafuta kwenye sheli!

* Wasanii hulipwa kiasi gani kwa mkutano mmoja? Kama kumbukumbu zangu ziko sawa, 2015 diamonda na alikiba walikuwa wanapata mil 15! Sijui na wasanii wengine mil 5 kwa mil 2 kulingana na ukubwa wao,sijui kwa sasa wanalipwaje.

* Nimeshuhudia msafara wa magari zaidi ya 60 katika msafara wa mgombea urais.

* Mengine unaweza ukaongeza wewe kama vifaa,chakula,posho za msululu wa watu nk.

Hivi kweli gharama za uchaguzi zinazingatiwa na kwa mujibu wa NEC. Gharama hizi zinapaswa zisizidi kiasi gani kwa mwaka huu wa uchaguzi?
ndiyo maana....

Chadema wanasema #sasabasi
ACT wanasema #imetosha
 
Hili swali halikuwahi kunifika mpaka mgombea urais wa CCM kufika Kigoma. Mambo yalikuwa hivi:

*Magari kama Coaster na mabasi yalikodiwa kuchukua wananchi kutoka vijiji mbalimbali. Nina rafiki yangu ambaye gari zake zote zilikodiwa kwa kazi hiyo!

* Wananchi wote waliopakiwa kwenye magari hayo kwenda kwenye uwanja wa kampeni waligawiwa tshirt na vipepereshu vya CCM bure!

* Boda boda walipewa T-shirt na namba ambayo waliitumia kujazia mafuta kwenye sheli!

* Wasanii hulipwa kiasi gani kwa mkutano mmoja? Kama kumbukumbu zangu ziko sawa, 2015 diamonda na alikiba walikuwa wanapata mil 15! Sijui na wasanii wengine mil 5 kwa mil 2 kulingana na ukubwa wao,sijui kwa sasa wanalipwaje.

* Nimeshuhudia msafara wa magari zaidi ya 60 katika msafara wa mgombea urais.

* Mengine unaweza ukaongeza wewe kama vifaa,chakula,posho za msululu wa watu nk.

Hivi kweli gharama za uchaguzi zinazingatiwa na kwa mujibu wa NEC. Gharama hizi zinapaswa zisizidi kiasi gani kwa mwaka huu wa uchaguzi?
Jibu lake rahisi...wao ndio wako madarakni...chenji yoote yaRC,DC. DED n.k zinatumika huko kama matumizi ya kawaida...
 
Hili swali halikuwahi kunifika mpaka mgombea urais wa CCM kufika Kigoma. Mambo yalikuwa hivi:

*Magari kama Coaster na mabasi yalikodiwa kuchukua wananchi kutoka vijiji mbalimbali. Nina rafiki yangu ambaye gari zake zote zilikodiwa kwa kazi hiyo!

* Wananchi wote waliopakiwa kwenye magari hayo kwenda kwenye uwanja wa kampeni waligawiwa tshirt na vipepereshu vya CCM bure!

* Boda boda walipewa T-shirt na namba ambayo waliitumia kujazia mafuta kwenye sheli!

* Wasanii hulipwa kiasi gani kwa mkutano mmoja? Kama kumbukumbu zangu ziko sawa, 2015 diamonda na alikiba walikuwa wanapata mil 15! Sijui na wasanii wengine mil 5 kwa mil 2 kulingana na ukubwa wao,sijui kwa sasa wanalipwaje.

* Nimeshuhudia msafara wa magari zaidi ya 60 katika msafara wa mgombea urais.

* Mengine unaweza ukaongeza wewe kama vifaa,chakula,posho za msululu wa watu nk.

Hivi kweli gharama za uchaguzi zinazingatiwa na kwa mujibu wa NEC. Gharama hizi zinapaswa zisizidi kiasi gani kwa mwaka huu wa uchaguzi?
*Magari kama Coaster na mabasi yalikodiwa kuchukua wananchi kutoka vijiji mbalimbali. Nina rafiki yangu ambaye gari zake zote zilikodiwa kwa kazi hiyo!

* Wananchi wote waliopakiwa kwenye magari hayo kwenda kwenye uwanja wa kampeni waligawiwa tshirt na vipepereshu vya CCM bure!

* Boda boda walipewa T-shirt na namba ambayo waliitumia kujazia mafuta kwenye sheli

Chama cha mafisadi
 
Hili swali halikuwahi kunifika mpaka mgombea urais wa CCM kufika Kigoma. Mambo yalikuwa hivi:

*Magari kama Coaster na mabasi yalikodiwa kuchukua wananchi kutoka vijiji mbalimbali. Nina rafiki yangu ambaye gari zake zote zilikodiwa kwa kazi hiyo!

* Wananchi wote waliopakiwa kwenye magari hayo kwenda kwenye uwanja wa kampeni waligawiwa tshirt na vipepereshu vya CCM bure!

* Boda boda walipewa T-shirt na namba ambayo waliitumia kujazia mafuta kwenye sheli!

* Wasanii hulipwa kiasi gani kwa mkutano mmoja? Kama kumbukumbu zangu ziko sawa, 2015 diamonda na alikiba walikuwa wanapata mil 15! Sijui na wasanii wengine mil 5 kwa mil 2 kulingana na ukubwa wao,sijui kwa sasa wanalipwaje.

* Nimeshuhudia msafara wa magari zaidi ya 60 katika msafara wa mgombea urais.

* Mengine unaweza ukaongeza wewe kama vifaa,chakula,posho za msululu wa watu nk.

Hivi kweli gharama za uchaguzi zinazingatiwa na kwa mujibu wa NEC. Gharama hizi zinapaswa zisizidi kiasi gani kwa mwaka huu wa uchaguzi?
Swali lako ni zuri sana ila Chadema watakuwa na room nzuri ya kulijibu maana waliwachangisha Wabunge wao pesa kila mwezi kwa kipindi cha miaka mitano kwa ajili ya kuendeshea kampeni. Waulize walikusanya shilingi ngapi na kama zinatumika kwa kampeni, hapo tunaweza tukapata mwanzo wa gharama za uchaguzi.
 
Hili swali halikuwahi kunifika mpaka mgombea urais wa CCM kufika Kigoma. Mambo yalikuwa hivi:

*Magari kama Coaster na mabasi yalikodiwa kuchukua wananchi kutoka vijiji mbalimbali. Nina rafiki yangu ambaye gari zake zote zilikodiwa kwa kazi hiyo!

* Wananchi wote waliopakiwa kwenye magari hayo kwenda kwenye uwanja wa kampeni waligawiwa tshirt na vipepereshu vya CCM bure!

* Boda boda walipewa T-shirt na namba ambayo waliitumia kujazia mafuta kwenye sheli!

* Wasanii hulipwa kiasi gani kwa mkutano mmoja? Kama kumbukumbu zangu ziko sawa, 2015 diamonda na alikiba walikuwa wanapata mil 15! Sijui na wasanii wengine mil 5 kwa mil 2 kulingana na ukubwa wao,sijui kwa sasa wanalipwaje.

* Nimeshuhudia msafara wa magari zaidi ya 60 katika msafara wa mgombea urais.

* Mengine unaweza ukaongeza wewe kama vifaa,chakula,posho za msululu wa watu nk.

Hivi kweli gharama za uchaguzi zinazingatiwa na kwa mujibu wa NEC. Gharama hizi zinapaswa zisizidi kiasi gani kwa mwaka huu wa uchaguzi?
Ujinga tena mwingine huu hapa?

Mnashindwaje kupiga picha?
Mfano sasa, Takukuru wataanzia wapi ili kujua kwamba kuna watu wanapewa tshet bule kigoma?
 
Ujinga tena mwingine huu hapa?

Mnashindwaje kupiga picha?
Mfano sasa, Takukuru wataanzia wapi ili kujua kwamba kuna watu wanapewa tshet bule kigoma?
Mimi nimeuliza swali ili nijue kuhusu gharama ya uchaguzi kama kipengele cha maadili ya uchaguzi!
Hayo ya kupiga picha na mengineyo sio concern yangu,watu watasema hapa huko kwao hali ikoje!
 
Swali lako ni zuri sana ila Chadema watakuwa na room nzuri ya kulijibu maana waliwachangisha Wabunge wao pesa kila mwezi kwa kipindi cha miaka mitano kwa ajili ya kuendeshea kampeni. Waulize walikusanya shilingi ngapi na kama zinatumika kwa kampeni, hapo tunaweza tukapata mwanzo wa gharama za uchaguzi.
Ningependa kujua hapa kwanza kiwango maximum kilichowekwa na Tume kwa vyama vya siasa!
Hiyo ndiyo hoja yangu kuu hapa na nikagusia na matumizi ya anasa niliyoyaona kwa CCM!
Hayo ya kuwauliza CDM nenda kawaulize wewe mapato na matumizi yao!Hapa hoja ni gharama ya uchaguzi kwa vyama vya siasa!
 
Hata hizo nadharia zipo kisheria na NEC inajukumu la kuweka viwango vya matumizi,hicho kiasi au aina ya gharama zimewekewa ukomo.Mleta mada alimaanisha ukubwa wa matumizi yanayoendelea sasa kwenye kampeni za watawala,ukubwa wake ni halali bado kwa mujibu wa maadili ya uchaguzi?
Huu siyo ufujaji wa Mali ya umma?Tumeona viongozi wa serikali wakiwa ndani ya hizi kampeni huku wakitumia raslimali za umma siyo upendeleo?
Naamini hawatamjibu mleta mada.
Mkuu umenielewa sana na msingi wa hoja zangu uko kwenye maelezo haya uliyotoa!
Ingekuwa vema kwa mtu mwenye kuelewa figure zinazokubalika na tume kutuwekea hapa ili basi tujiridhishe kama ni sahihi au la!
 
Back
Top Bottom