Ni haki ya msingi ya kikatiba kwa wananchi wa Igunga kupata.mwakilishi wao bungeni ila kwa mwenendo wa kampeni za.vyama vinavyoshiriki uchaguzi sio siri garama ni kubwa mno kuliko uwezo wa uchumi wa.nchi yetu.Ni muda muafaka sasa kuachana ni huu upuuzi wa utitiri wa vyama kwani si tu vinatafuna kodi za walalahoi lakini pia usanii wa kuwadanganya wapiga kura kwa ahadi hewa ni dhambi ambayo haiwezi kusamehewa hata kidogo