Kamende
JF-Expert Member
- Mar 1, 2008
- 416
- 45
Wakuu
Heshima mbele!!!!
Ninawataka radhi kwamba nilikuwa mbali kidogo ya mtandao na hivyo sikuwa katika mijadala kwa takribani wiki 5. hata nilipopata kanafasi kidogo kuingia hapa jukwaani haikuwa rahisi hata kidogo kushiriki kikamilifu mjadala kwa undani.
Waheshimiwa sana, wazalendo, wapenda nchi ya Tanzania.
Leo ninakuja na ombi la kujua gharama halisi za uendeshaji wa serikali yetu ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Ninatamani kujua kwamba serikali inatumia kiasi gani kwa:
Baada ya hapo tujue kila Mtanzania anatakiwa kuchangia kiasi gani kwenye kuwezesha huo uendeshaji baada ya kutoa mchango wa wahisani.
Heshima mbele!!!!
Ninawataka radhi kwamba nilikuwa mbali kidogo ya mtandao na hivyo sikuwa katika mijadala kwa takribani wiki 5. hata nilipopata kanafasi kidogo kuingia hapa jukwaani haikuwa rahisi hata kidogo kushiriki kikamilifu mjadala kwa undani.
Waheshimiwa sana, wazalendo, wapenda nchi ya Tanzania.
Leo ninakuja na ombi la kujua gharama halisi za uendeshaji wa serikali yetu ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Ninatamani kujua kwamba serikali inatumia kiasi gani kwa:
Uendesheja wa Ikulu na wizara zilizoko pale
Ofisi ya waziri Mkuu na wizara zake.
Ofisi ya Makamu wa Rais na Wizara zilizoko chini yake.
Wizara zote moja moja
Uendeshaji wa Ofisi za Mikoa na Wilaya
Uendeshaji wa Halmashauri za Manispaa na Wilaya
Uendeshaji wa Mhakama
Gharama za Bunge
Gharama za Majeshi ya ulinzi
Gharama za Majeshi ya Usalama wa Raia
Gharama za Uendeshaji wa Vyuo.
Gharama za Utafiti
nk.
Baada ya hapo tujue kila Mtanzania anatakiwa kuchangia kiasi gani kwenye kuwezesha huo uendeshaji baada ya kutoa mchango wa wahisani.