jMali
JF-Expert Member
- Nov 9, 2010
- 8,379
- 4,899
naomba mwanasheria yoyote anisaidie kunipa exact au walau estimates za gharama zake kama mwanasheria kwa kuandika memorandum na articles of association, ku-notarize na zote zingine zinazo apply ili nifungue kampuni
naomba pia address au namba ya simu (baada ya maelezo hayo). asante in advance
naomba pia address au namba ya simu (baada ya maelezo hayo). asante in advance