Pafyum
JF-Expert Member
- Feb 7, 2012
- 208
- 112
Naomba kuuliza kwa wana JF wazoefu wa Ujenzi!
1. Kununua Matofari ambayo yemkwishafyatuliwa na kufyatua mwenyew kipi ni bora?
Naomba majibu yazingatie Gharama na ubora.
2. Na kama nikiamua kufyatua mwenyewe, ni matofari mangapi yanayopendekezwa kwa Mfuko mmoja wa Cement? na Pia ni nin cha kuzingatia katika kupata matofari bora?
Nawashukuru sna, nategemea majib mazuri kutoka kwenu wadau
1. Kununua Matofari ambayo yemkwishafyatuliwa na kufyatua mwenyew kipi ni bora?
Naomba majibu yazingatie Gharama na ubora.
2. Na kama nikiamua kufyatua mwenyewe, ni matofari mangapi yanayopendekezwa kwa Mfuko mmoja wa Cement? na Pia ni nin cha kuzingatia katika kupata matofari bora?
Nawashukuru sna, nategemea majib mazuri kutoka kwenu wadau