Gharama za matibabu ya viongozi wastaafu ni kufuru

sera inasema matibabu ya wazee 60+ ni bure.tuangalie kama tunaweza kuwaingiza kwenye hili kundi la msamaha.
 
Kuna matatizo makubwa ktk vichwa vya watawala wetu! Hii pesa ni nyingi sana,kuna watu watakua wametajirika hapa!
 
ndio maana kuepusha haya matatizo ndio maana kwa wenzetu huko Marekani Rais analipwa mafao kwa miaka 10 baada ya kustaafu na baada ya hapo anaweza kuongezewa miaka 5 kwa executive order ya sitting president. Hii ni kuzuia mtu kutumikia urais kwa miaka 8 halafu alipwe mafao miaka 20! Hivyo ukiamua kugombea Urais ukiwa na umri mdogo ni juu yako. Mfano mwaka jana nakumbuka Rais Carter aliibiwa baiskeli yake alipoenda dukani kwa vile kwa sasa hana ulinzi wa aina yeyote ingawa FBi wanaendela kumfuatilia kwa extra security lakini sio kama huku kwetu.

Nadhani hili litakuwa poa sana likiwekwa kwenye katiba mpya kwamba wastaafu hawa watastahili kuhudumiwa kwa miaka 10 tu ikiisha basi waanze kujitegemea wenyewe. Hili lingekuwepo Mwinyi asingestahili kuwemo kwenye bajeti ya Serikali.
 
Pole sana ndugu usiyejua kuwa mwenye shibe hamjui mwenye njaa. Endelea kuimba CCM nambari wani na kupokea Tshirts wenzio wafaidika na familia zao wkt wewe Tshirt ya shs 500 waigharamia kwa miaka mitano. Be blessed watanzania wanaoomba mabadiliko!!!
 
Kuna matatizo makubwa ktk vichwa vya watawala wetu! Hii pesa ni nyingi sana,kuna watu watakua wametajirika hapa!

Wakati huo huo Serikali inashindwa kutenga hata 1% katika sekta ya afya ya kiasi hicho kwa kila Mtanzania!
 
Back
Top Bottom