mkaamweusi
JF-Expert Member
- Feb 19, 2013
- 614
- 802
jamani leo nilikuwa natafakari kwamba,embu tuchkulie wewe ndo mwamuzi wa design ya maisha yako unayotaka kuishi,sasa ukaamua uwe mjasiria mali,kwamba wewe unatengeneza pesa flani ili zigharamie maisha flani unayoyataka,
mfano tuseme umeamua mimi bhana inyeshe au liwake,sitaki kuishi kimaskini,nitapanga nyumba nzima/wakati huo nina jenga nyumba yangu yene sifa ya utulivu,upepo mzuuri,eneo kubwa lenye mazingira saafi,facilities kama majakuzi ya kuogea,chumba cha kuabudu,kutafakari na kusoma kiwepo na sehemu ya watoto na wageni hiviii!
nitakwenda na fasheni za nguo,gari na marafiki wa kitaifa na kimataifa yaani to live abundantly
nikaja gundua kuwa kuna utegemezi mkubwa wa wewe mwenyewe mtizamo wako kwa maana ya unaamua nini pale ambapo biashara flani hailipi kipindi hiki cha awamu ya tano?,
kwa wale ambao wamepita kidogo kwenye uchumi kuna equation flan hivi ya Y=c+mx+e yani hapo tuna error term,independent variable,constant term na dependent variable,sasa nilikuwa nataka kutengeneza theory flani ambayo guiding model yake iwe hiyo apo,
lengo ni kutaka kutanabaisha kwamba yupi abadilike,yupi anatakiwa aathiriwe na mabadiliko ya mwengine,bila kumuathiri flani(contant term) na makosa madogo madogo error term)? ili niweze kuleta tija kwa maisha na waajiriwa na waliojiajiri kuliko kulalamika tuu,ooh maisha yamekuwa ngumu,biashara mauzo yameshuka,
afu wakati huo nikitaka kuwapa moyo kuwa yule mwenye guts za kusavaivu atasavaivu no matter what,yaani kwa kurejea Darnwism Theory "survival for the Fitest" nisaidie hapo wana jamvi!
mfano tuseme umeamua mimi bhana inyeshe au liwake,sitaki kuishi kimaskini,nitapanga nyumba nzima/wakati huo nina jenga nyumba yangu yene sifa ya utulivu,upepo mzuuri,eneo kubwa lenye mazingira saafi,facilities kama majakuzi ya kuogea,chumba cha kuabudu,kutafakari na kusoma kiwepo na sehemu ya watoto na wageni hiviii!
nitakwenda na fasheni za nguo,gari na marafiki wa kitaifa na kimataifa yaani to live abundantly
nikaja gundua kuwa kuna utegemezi mkubwa wa wewe mwenyewe mtizamo wako kwa maana ya unaamua nini pale ambapo biashara flani hailipi kipindi hiki cha awamu ya tano?,
kwa wale ambao wamepita kidogo kwenye uchumi kuna equation flan hivi ya Y=c+mx+e yani hapo tuna error term,independent variable,constant term na dependent variable,sasa nilikuwa nataka kutengeneza theory flani ambayo guiding model yake iwe hiyo apo,
lengo ni kutaka kutanabaisha kwamba yupi abadilike,yupi anatakiwa aathiriwe na mabadiliko ya mwengine,bila kumuathiri flani(contant term) na makosa madogo madogo error term)? ili niweze kuleta tija kwa maisha na waajiriwa na waliojiajiri kuliko kulalamika tuu,ooh maisha yamekuwa ngumu,biashara mauzo yameshuka,
afu wakati huo nikitaka kuwapa moyo kuwa yule mwenye guts za kusavaivu atasavaivu no matter what,yaani kwa kurejea Darnwism Theory "survival for the Fitest" nisaidie hapo wana jamvi!