Gharama za kwenda na kurudi Afrika kusini

Nakushauri Upande Ndege Kama Una Mpango Wa Kurudi.Napendekeza Ndege Ya Rwandair Na Utalipia 4000 ZAR Return Ticket Au Chini Ya Hapo Ukibook Mapema.Usafiri Toka OR Tambo To Jozy Panda Gautrain Au Uber Utalipia 55 Rands.Hotel Bed Alone Pale Bree Kuanzia 150 Mpaka 300.Hope Nimesaidia
Hello mambo dear,
Mm naitwq Aysha naishi Dodoma! Niliona post yako ulijibu kuhusu usafiri ya kwenda south africa ni 4000 ZAR! Mm ntka nisafiri kuna rfk yng naenda kumwona...can i know hyo gharama ya rwandair ya 4000 ni go n return ama ni go tu?
Asante sana na pole kwa usumbufu
 
kama una nia ya kysafiri utagoogle exchange rate boya wewe.sio kila kitu utafutiwe.vingine jiongeze alaaah
Wasichana wa kihehe hamna hata lugha laini ya kubembeleza mtu kama huyo anayeenda Africa kusini jamani yakimnyookea aweza kukuoa Segito wahehe wakapata shemeji anayeishi Africa Kusini iobadala ya hao wa kalenga
 
Unaenda kikazi na haujajua gharama?rafiki acha basi masihara.tumefanya wote kazi za kuajiliwa na zilipokua zinakuja safari za hivyo kulikua kuna mchanganuo mzima wa gharama ili uchukue per diem yako,na unapewa hizo gharama kutoka huko huko uendako.sasa wewe ni mfanya biashara au ni vipi mpaka uulize huku jf?
Hata biashara ni kazi mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hello mambo dear,
Mm naitwq Aysha naishi Dodoma! Niliona post yako ulijibu kuhusu usafiri ya kwenda south africa ni 4000 ZAR! Mm ntka nisafiri kuna rfk yng naenda kumwona...can i know hyo gharama ya rwandair ya 4000 ni go n return ama ni go tu?
Asante sana na pole kwa usumbufu
Haw inabadilika Kurosawa na exchange rate na Sikh utasafiri kwa uhakika
Hello mambo dear,
Mm naitwq Aysha naishi Dodoma! Niliona post yako ulijibu kuhusu usafiri ya kwenda south africa ni 4000 ZAR! Mm ntka nisafiri kuna rfk yng naenda kumwona...can i know hyo gharama ya rwandair ya 4000 ni go n return ama ni go tu?
Hi Ayesha! I don't work na Rwandair.tafadhali tembelea ofisi zao kwa maelezo zaidi.bei zinapoa zaidi ukiwahi kubook in advance.pia Wana offer nzuri na bei Nafuu zaidi
 
Hello mambo dear,
Mm naitwq Aysha naishi Dodoma! Niliona post yako ulijibu kuhusu usafiri ya kwenda south africa ni 4000 ZAR! Mm ntka nisafiri kuna rfk yng naenda kumwona...can i know hyo gharama ya rwandair ya 4000 ni go n return ama ni go tu?
Asante sana na pole kwa usumbufu
Kwenda na kurudi pesa ya kitanzania ni 900,000

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Panda gari adi harare Zimbabwe,pale roadport kuna gari za kwenda south dola 20 tu na mwendo mfuupi unafika..mengine watakujuza wajuzi.BT ujiandae kurelax maana ni safari ya siku3...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom