TASK FORCE
JF-Expert Member
- Apr 7, 2017
- 2,466
- 3,456
Hawajitambui hao, Mimi leo nimetoka kulipia bei mpya ya 27000 nivute kwenye fremu zangu,,we ms.enge hilo lilianzishwa na Mh. Jakaya. acha shobo!
Kiukweli Samiah aongoze Nchi hadi achoke yeye, sasaivi ageukie suala la elimu yetu na sekta ya afya tu