Labda kama unajaribu ku-justify irresponsibility ya TANESCO!! Hata wakati walipokuwa wanalipisha wananchi malaki ya pesa kwa ajili ya nguzo na kuunganishiwa umeme bado walikuwa wanategemea ruzuku ya serikali; kwahiyo hakuna jipya hapo! TANESCO wape kila kitu bado watadai rushwa! Waambie watoze nguzo moja kwa 5M bado watadai tu rushwa kwa sababu hizo 5M haziigii mifukoni mwao wakati rushwa inaingia mifukoni mwao!Hilo ni tamkwa kwa Mhemko.Shirika halitaweza kujiendesha hili.Tutashuhudia ucheleweshaji mkubwa wa kuunganishiwa umeme au kutengeneza mazingira ya Rushwa.