Nimetafakari gharama wanazoziingia wazazi kuwapeleka watoto ex form six JKT. Ni kubwa na mzigo usio na sababu ya msingi kwa wazazi masikini. Si chini ya laki mbili (200,000 Ths) kwa uchache. Hizi ni hela nyingi kwa mzazi wa vipato vya chini huko vijijini anaye-strugle kupata ada ya shule za Kata.
Najiuliza taabu yote hii ya nini kwa wazazi? Kwani JKT ina umuhimu gani WA LAZIMA kwa maisha binafsi ya mtoto na mzazi?
Kama serikali haina hela ya kuwagharamia watoto, mzazi anazipata wapi?
Kama serikali haina hela za kuwaweka watoto makambini waache mpango huo wa kuwapeleka JKT. Wasiumize watoto na wazazi kwa mambo ambayo si lazima sana katika maisha yao.
Bado kuna watoto wanahitaji hiyo JKT, wawaache hao waende maana wana uhitaji na hiyo JKT
Najiuliza taabu yote hii ya nini kwa wazazi? Kwani JKT ina umuhimu gani WA LAZIMA kwa maisha binafsi ya mtoto na mzazi?
Kama serikali haina hela ya kuwagharamia watoto, mzazi anazipata wapi?
Kama serikali haina hela za kuwaweka watoto makambini waache mpango huo wa kuwapeleka JKT. Wasiumize watoto na wazazi kwa mambo ambayo si lazima sana katika maisha yao.
Bado kuna watoto wanahitaji hiyo JKT, wawaache hao waende maana wana uhitaji na hiyo JKT