Chaliifrancisco
JF-Expert Member
- Jan 17, 2015
- 23,499
- 70,300
Mdogo wangu wamempangia aende Tabora huko. Wazazi wapo aende lakini mimi nimepiga pin haendi mahali. Yani akawe chakula ya migambo? Bora mabaharia wa uswazi tu.
Jiwe tena???.Pole sana. Mimi niko kwenye mtanziko huo. Nimetumia jana laki 2 kununua vifaa, tena kwa kubana kweli kweli. Bado nauli. Naumia kweli maana hela haipo.
Jiwe ni laana, wacha aende zake, laaniwe Jiwe na wapambe wake.
Hivi wewe Kwanini hukwenda Msamvu kuchota mafuta??.Watu km nyie ni kansa kwa jamii.Kama mzazi ni masikini kwa nini alizaa watoto. Ukijiona masikini usiache kiumbe duniani ishi mwenyewe ujitafutie mwenyewe chakula basi.
Naam, there you are!!Hadi nauli mkuu enzi zile unapewa kabisa na ela ya chakula njiani, achana na ivyi vifaa vingine ambayo tulikua tunagaiwa bure
Hadi nauli mkuu enzi zile unapewa kabisa na ela ya chakula njiani, achana na ivyi vifaa vingine ambayo tulikua tunagaiwa bure
Faida zipi?
We pimbi, je mfumo wa zamani wa JKT ni sawa na wa sasa? Zamani wazazi walikuwa wana gharamikia?acha kutumia kamasi kuwaza
Wewe ni mpumbafu..ukute upo kwa shemeji yako unaishi kwa viuno vya dadaako.Kama mzazi ni masikini kwa nini alizaa watoto. Ukijiona masikini usiache kiumbe duniani ishi mwenyewe ujitafutie mwenyewe chakula basi.
Mkuu mie siwazi nafikiriAcha kutumia kamasi kuwaza,
Utakuwa umeguswa na hicho ndicho nilichokitakaRubbish!
ImpotenceKama mzazi ni masikini kwa nini alizaa watoto. Ukijiona masikini usiache kiumbe duniani ishi mwenyewe ujitafutie mwenyewe chakula basi.