Gharama za kupandikiza mtoto/mimba

ABBYA

Senior Member
Mar 22, 2016
169
122
Za jioni wakuu! Kama kichwa cha habari kinavyosema naomba msaada kwa anayejua gharama na sehemu gani wanatoa hiyo huduma!

Pia mawasiliano kama unayo ya huko wanakotoa hiyo huduma !

Natanguliza shukrabi zangu na Mwenye enzi Mungu awabariki!
 
Za jioni wakuu! Kama kichwa cha habari kinavyosema naomba msaada kwa anayejua gharama na sehemu gani wanatoa hiyo huduma!

Pia mawasiliano kama unayo ya huko wanakotoa hiyo huduma !

Natanguliza shukrabi zangu na Mwenye enzi Mungu awabariki!
Kuna mtu alileta tangazo kule jukwaa la magonjwa kuhusu hiyo huduma tz......

Nadhani hospitali ipo sijui mbezi???? Katafute huo uzi

Pia kuna womens clinic mitaa ya mikocheni kama sikosei(nahisi karibu na baraka plaza kuna kibao)

Kwenye ule uzi gharama sijui ilikuwa $10,000??????? (Sina hakika, utafute)
 
Nina jirani yangu lecturer wa chuo fulani yeye baada ya ndoa walikaa muda mrefu sana bila kupata mtoto. Wakaenda Marekani na mke akarudi na mimba na sasa mtoto wao mkubwa tu na kafanana na baba yake. Kiufupi walikwenda kupandikiza. Sio huyo wapo wengi tu wa kimyakimya. Ila ni baada ya kuhangaika sana ndipo wakashauriwa na Dr.
Ushauri wangu tafuta Dr./ gynecologist atakushauri vizuri wapi na gharama.
 
wewe akiri yako ni mzoga? hizo njia za kupata mtoto ni njia za MUNGU?
Nina shaka na kiwango chako cha elimu ya dunia na kiroho. Pia kama una mke na watoto wakubwa usiwaonyeshe comments zako, WATAKUDHARAU SANA.
Kwahiyo binadamu aliyezaliwa kwa kupandikizwa hana nafasi mbele za Mungu.

Halafu ninahisi una tatizo la upumuaji kupitia puani hivyo mara nyingi unaachama mdomo kupata hewa. Hivyo kusababisha ubongo usipate oxygen ya kutosha.
BISHA!!

Tafuta ujue kwanza nini maana yakupandikizwa na hufanyikaje na kwanini.
 
kuna mbezi beach kuna mikocheni ! mikocheni pale wapo vizuri zaidi millioni yako 20 mkuu njoo pm
 
Tena kwa pesa atakayolipa bongo bora aende SA...... huduma za uhakika na atakuwa kama kiholiday fulani kupunguza stress
sio kweli bongo wanafanya vizuri tu nimeona mtua aliefanikiwa .huko nje gharama kubwa sana jamani hapa bongo m 20
 
Kuna mtu alileta tangazo kule jukwaa la magonjwa kuhusu hiyo huduma tz......

Nadhani hospitali ipo sijui mbezi???? Katafute huo uzi

Pia kuna womens clinic mitaa ya mikocheni kama sikosei(nahisi karibu na baraka plaza kuna kibao)

Kwenye ule uzi gharama sijui ilikuwa $10,000??????? (Sina hakika, utafute)
ni kweli hapa dar zipo mbili hyo ya mbezi ni mpya naijua ila mikocheni wapo muda ni wazoefu aende mikocheni
 
Yap

Succee rate ya sa ni juu zaid ya za hapa bongo

Pia wapo vizuri kwenye vipimo na hawana longolongo za kibongo

Zaidi wanarudishia 5 blastocyst...... ambayo ni bora zaidi kuliko 3 days ya bongo (unless bongo nao siku hizi wanafanya 5 days)
kweli nje wapo vizuri ila gharama ni kubwa kumbuka unatakiwa kwa kipindi cha miezi kama mitatu kabla ya kupandikizwa uwe kwenye tiba. mbalimbali so kuna kwenda na kurudi kama mara tano hivi mpaka kupandikizwa kama ana hela aende huko ila hata mikocheni kuna watu wamefanikiwa tusifie vya kwetu .yule dokta wa pale sio mbongo hata anakuja siku maalumu na kugeuza
 
sio kweli bongo wanafanya vizuri tu nimeona mtua aliefanikiwa .huko nje gharama kubwa sana jamani hapa bongo m 20
Nje inaweza ikawa gharama lakini huduma nzuri.

Kufanikiwa wanaweza kufanikiwa ila mtaka huduma achunguze success rate yao ikoje na aangalie mfuko wake

Halafu; Namfahamu mtu alifanya moja ya hospitali ........ aliumwa yule dada hana hamu (those days walifanya egg retrival kavukavu bila ganzi..........) baada ya siku 3 kurudi aliambiwa anywe maji mengi....mdada alihofia kupata ohss ila wahusika waaalaaaaaaa....
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom