Naomba gharama za kukomboa Gharama Kontena la futi 20, lenye vifaa vya ujenzi wa nyumba binafsi bandari ya DSM.
1.thamani ya vitu vyote humo ndani ni kama $8,000
2.Kulisafirisha hadi Dar itanigharimu $2000
USHURU ninaotakiwa kutozwa ni kiasi gani?nimesoma taarifa za TRA wanadai kodi ni 15% kwa vifaa vya ujenzi.(stand to be corrected)
je kuna gharama nyinginezo?kuclear kontena hilo kutagharimu kiasi gani?nataka kutumia njia za halali bila kutoa Rushwa(natumai sitaombwa).nitalipa kodi zote na ushuru husika.
kwa wajuzi naomba makadirio hayo.
1.thamani ya vitu vyote humo ndani ni kama $8,000
2.Kulisafirisha hadi Dar itanigharimu $2000
USHURU ninaotakiwa kutozwa ni kiasi gani?nimesoma taarifa za TRA wanadai kodi ni 15% kwa vifaa vya ujenzi.(stand to be corrected)
je kuna gharama nyinginezo?kuclear kontena hilo kutagharimu kiasi gani?nataka kutumia njia za halali bila kutoa Rushwa(natumai sitaombwa).nitalipa kodi zote na ushuru husika.
kwa wajuzi naomba makadirio hayo.