Gharama za kuhamisha Pesa kwenye mitandao ya simu ni kinyume na kelele zetu wananchi

Kimla

JF-Expert Member
Jun 8, 2008
3,325
5,557
Wanajamvi..
Nilikuwa na salio la 1,410,000tsh hapa airtel money. Nikahamisha sh. 1million kwenda kwa rafiki yangu, nikabakiwa na sh 407,000tsh. Maana yake gharama ya kutuma sh 1 million moja ni sh 3000.

Je hii gharama ambayo ina include zile za makampuni ya simu na kidogo sana kwa ajili ya serikali, ndo hii ilifanya tukawa tunaikashifu serikali kuwa haiwajali wanyonge au kuna gharama nyingine kubwa ambayo siifahamu? Kama ni hii tu ndo gharama ya kuhamisha 1 million basi nasema serikali ongeza kidogo ili tuchangie sh 6000 kwa kila million tunayotuma ili tuhakikishe tunachangia sote kujenga nchi.
 
Wanajamvi..
Nilikuwa na salio la 1,410,000tsh hapa airtel money. Nikahamisha sh. 1million kwenda kwa rafiki yangu, nikabakiwa na sh 407,000tsh. Maana yake gharama ya kutuma sh 1 million moja ni sh 3000.

Je hii gharama ambayo ina include zile za makampuni ya simu na kidogo sana kwa ajili ya serikali, ndo hii ilifanya tukawa tunaikashifu serikali kuwa haiwajali wanyonge au kuna gharama nyingine kubwa ambayo siifahamu? Kama ni hii tu ndo gharama ya kuhamisha 1 million basi nasema serikali ongeza kidogo ili tuchangie sh 6000 kwa kila million tunayotuma ili tuhakikishe tunachangia sote kujenga nchi.
Limbukeni utamjua tu
 
Ukute hata hujaitolea jasho.....umeuza kiwanja nn...unajua amount ya kurusha kwa bank na unachokatwa ukitoa kwa Wakala
 
Wanajamvi..
Nilikuwa na salio la 1,410,000tsh hapa airtel money. Nikahamisha sh. 1million kwenda kwa rafiki yangu, nikabakiwa na sh 407,000tsh. Maana yake gharama ya kutuma sh 1 million moja ni sh 3000.

Je hii gharama ambayo ina include zile za makampuni ya simu na kidogo sana kwa ajili ya serikali, ndo hii ilifanya tukawa tunaikashifu serikali kuwa haiwajali wanyonge au kuna gharama nyingine kubwa ambayo siifahamu? Kama ni hii tu ndo gharama ya kuhamisha 1 million basi nasema serikali ongeza kidogo ili tuchangie sh 6000 kwa kila million tunayotuma ili tuhakikishe tunachangia sote kujenga nchi.
We kilaz@ acha ulimbukeni, unajua gharama ya kuitoa hiyo hela? Ni kama 7000 na upuuzi, sasa si bora huyo mtu kama mpo dar wote upande mwendokasi na kwenda kumpa...
By the way kwa tigo na voda ni 5000 kutuma tu
 
We kilaz@ acha ulimbukeni, unajua gharama ya kuitoa hiyo hela? Ni kama 7000 na upuuzi, sasa si bora huyo mtu kama mpo dar wote upande mwendokasi na kwenda kumpa...
By the way kwa tigo na voda ni 5000 kutuma tu
Kuna ulazima gani umwite kilaza hapo? Starabika ndg!
 
Mwambie rafiki yako aende kwa wakala akatoe hiyo pesa ndio utajua kwanini watu wanalalamika.

Wanajamvi..
Nilikuwa na salio la 1,410,000tsh hapa airtel money. Nikahamisha sh. 1million kwenda kwa rafiki yangu, nikabakiwa na sh 407,000tsh. Maana yake gharama ya kutuma sh 1 million moja ni sh 3000.

Je hii gharama ambayo ina include zile za makampuni ya simu na kidogo sana kwa ajili ya serikali, ndo hii ilifanya tukawa tunaikashifu serikali kuwa haiwajali wanyonge au kuna gharama nyingine kubwa ambayo siifahamu? Kama ni hii tu ndo gharama ya kuhamisha 1 million basi nasema serikali ongeza kidogo ili tuchangie sh 6000 kwa kila million tunayotuma ili tuhakikishe tunachangia sote kujenga nchi.
 
Watu wengine bure kabisa sijui yupo hedhi hata simuelewi, Kutuma hela hakuna gharama sana ila kwenye kutoa ndio kuna gharama wewe popo uso na masikio, Na ndio maana M pesa, TIGO PESA, Ama AIRTEL MONEY zinatoa faida pale unapotoa pesa na sio kuweka. Muwe mnauliza pumbavu thana... Nna hasira nawe
 
Back
Top Bottom