Gharama za kufungua kampuni

Bullshit

JF-Expert Member
Nov 30, 2016
1,300
1,494
Hello JF members

Wenye ujuzi tusaidiana katika hili kitaalam zaidi.

Nataka kuendesha biashara mfumo wa kampuni au kuanzisha kampuni 3.

Moja itajihusisha na maswala ya mavazi (yaani maswala yote kuhusu mavazi)

Nyingine itajihusisha na maswala ya chakula (Grocery and food)

Ya mwisho itajihusisha na tovuti, tunamiliki tovuti za kutoa huduma mtandaoni kama vile alibaba, instacart, booking and upwork.

Biashara tajwa hapo juu tayar tumeanza ila nataka kutoka kwenye mfumo wa kawaida na kuamisha kwenye mfumo wa kampuni.

Sikawahi kuendesha kampuni ila ninaelewa nini maana ya kampuni na mfumo wa kampuni, licha sijakamilika lakini naamini elimu nyingine nitakutana nayo mbele ya safari.

Nataka kujua mambo haya

Kujasili kampuni brela ya kuanzia milioni moja hadi Mia moja ni Tsh ngapi?

Ikiwa kampuni niyakigeni lakini imesajiliwa tanzania, kuna uwezekano wa kuingia kwenye mashindano ya aina mbali mbali ya ndani ya nchi husika? Mfano kuwania tuzo mbali mbali ndani ya nchi husika.

TIN ya kampuni Na leseni ya biashara ya kampuni malipo yake yanategemea mtaji wa kampun? kama ndio kuanzia 1M hadi 100M ni tsh ngapi?

Gharama ya Kusajili jina la biashara?

Ikiwa nataka kuajiri ni lazima niweke maelezo ya muajiriwa mpya? Na ninajaza wapi, na wanamkataji tax (napelekaje taarifa za mfanyakazi sehemu husika ili serekali ichukue tax).

Kuna ulazima kampuni kuwa na mwanasheria?.

Mambo gani kampuni ikifanya lazima ipate faini na namna gani naweza kuepuka faini za kampuni.?

Maswali hayo yabase kwenye sheria au mfumo wa tanzania

Nataka kujua kutoka kwako, inawezekana maelezo hayajanyooka ila hope nitakuwa nimeeleweka nini nataka kujua. Unaweza kuongeza ya kwako pia.

Asante
 
kama upo tayari nina jamaa zangu ndo kazi zao na ofisi zao wapo jengo la posta dsm opposite na wizar ya mambo ya ndani pale 4th floor room no 1207
kama unahitaji mawasiliano yake ni 0712685025.
unaweza mpigia na ukamuuliza kwani anatoa na ushauri kabisa.

Niko mkuu asante
 
Mimi nna nyaraka za kampuni ambazo zime kamilika shughuri tuliyo tegemea kufanya Wana team baadhi wame enda nje ya nchi kwahyo tume amua kuuza hizo nyaraka zote kama uko tayari Nitafute 0748062691 tuku patie wewe na wenzako ulio nao gharama za mwana sheria tuta gharamia sisi

Nataka za kwangu mkuu si za mtu mwingine
 
Hello JF members

Wenye ujuzi tusaidiana katika hili kitaalam zaidi.

Nataka kuendesha biashara mfumo wa kampuni au kuanzisha kampuni 3.

Moja itajihusisha na maswala ya mavazi (yaani maswala yote kuhusu mavazi)

Nyingine itajihusisha na maswala ya chakula (Grocery and food)

Ya mwisho itajihusisha na tovuti, tunamiliki tovuti za kutoa huduma mtandaoni kama vile alibaba, instacart, booking and upwork.

Biashara tajwa hapo juu tayar tumeanza ila nataka kutoka kwenye mfumo wa kawaida na kuamisha kwenye mfumo wa kampuni.

Sikawahi kuendesha kampuni ila ninaelewa nini maana ya kampuni na mfumo wa kampuni, licha sijakamilika lakini naamini elimu nyingine nitakutana nayo mbele ya safari.

Nataka kujua mambo haya

Kujasili kampuni brela ya kuanzia milioni moja hadi Mia moja ni Tsh ngapi?

Ikiwa kampuni niyakigeni lakini imesajiliwa tanzania, kuna uwezekano wa kuingia kwenye mashindano ya aina mbali mbali ya ndani ya nchi husika? Mfano kuwania tuzo mbali mbali ndani ya nchi husika.

TIN ya kampuni Na leseni ya biashara ya kampuni malipo yake yanategemea mtaji wa kampun? kama ndio kuanzia 1M hadi 100M ni tsh ngapi?

Gharama ya Kusajili jina la biashara?

Ikiwa nataka kuajiri ni lazima niweke maelezo ya muajiriwa mpya? Na ninajaza wapi, na wanamkataji tax (napelekaje taarifa za mfanyakazi sehemu husika ili serekali ichukue tax).

Kuna ulazima kampuni kuwa na mwanasheria?.

Mambo gani kampuni ikifanya lazima ipate faini na namna gani naweza kuepuka faini za kampuni.?

Maswali hayo yabase kwenye sheria au mfumo wa tanzania

Nataka kujua kutoka kwako, inawezekana maelezo hayajanyooka ila hope nitakuwa nimeeleweka nini nataka kujua. Unaweza kuongeza ya kwako pia.

Asante

Umesema una jua kidogo kuhusu kampuni lakini nilivyosoma maelezo yako nimeona bado hujui inabidi upate elimu juu ya kampuni
Ulivyovitaja vyote nguo, tovuti na chakula Yote inakuwa kampuni 1 na sio kampuni tofauti

Angalia mfano mdogo wa kampuni ya Azam ndani ina Tv, boats, Team ya mpira, Juice nk

Pita tovuti ya BRELA na pia youtube na Google ujiongeze elimu
 
Umesema una jua kidogo kuhusu kampuni lakini nilivyosoma maelezo yako nimeona bado hujui inabidi upate elimu juu ya kampuni
Ulivyovitaja vyote nguo, tovuti na chakula Yote inakuwa kampuni 1 na sio kampuni tofauti

Angalia mfano mdogo wa kampuni ya Azam ndani ina Tv, boats, Team ya mpira, Juice nk

Pita tovuti ya BRELA na pia youtube na Google ujiongeze elimu
Mkuu nina swali! Kwa uzoefu wako na issue za BRELA.. Inaruhusiwa kufanya usajiri wa "Business Name" then Under the same business name ukawa na sub-businesses? Mfano: Okonkwo Investment kama jina la biashara halafu ukawa sajiri biashara tofauti ya Mobile Money na biashara nyingine ya Huduma za Chakula au inatakiwa kusajiri kampuni then under hilo kampuni Indio unakuwa na hizo sub-businesses?

Asante.
 
Mkuu nina swali! Kwa uzoefu wako na issue za BRELA.. Inaruhusiwa kufanya usajiri wa "Business Name" then Under the same business name ukawa na sub-businesses? Mfano: Okonkwo Investment kama jina la biashara halafu ukawa sajiri biashara tofauti ya Mobile Money na biashara nyingine ya Huduma za Chakula au inatakiwa kusajiri kampuni then under hilo kampuni Indio unakuwa na hizo sub-businesses?

Asante.

Jibu ni NDIO

Nakupa mfano wa jamaa niliona dodoma kama sijakosea anaitwa KAZIMOTO huyu anafanya biashara ya miamala na pia uuzaji wa mapikipiki na kuagiza pia (sijui kama bado yupo au la maana niliona 2016)

Sasa basi Unapokuwa katika process za kufungua kampuni inabidi uandike PORTFOLIO, unapoandika portfolio ndio ndani yake sasa kuna kuwa na MULTI-BRANDING strategies. Hapo sasa unaweka kila kitu unataka kufanya na kampuni yako unaweza kuorodhesha hata biashara 10 na zaidi na sio lazima uzifanye zote kwa muda mmoja
Unaweza kukaaa hata miaka

Mfano: Mo Dewji sasa anatengeneza Sabuni za Mo29 lakini zote zipo chini ya MeTL

Mimi sio mtaalam wa mambo ya kampuni ila tu nilikuwa katika process za kufungua kampuni yangu ya ujenzi professionally lakini kwa sasa najishughulisha na utumaji mizigo, na dropshipping nikija kufungua kampuni hivyo vyote vitakuwa ndani yake

Ingia google nenda ukasome:
1. Company Portfolio
2. Multi-Brand strategy

Hii ni moja ya link: What is a Multi-Brand Strategy? (+ Examples)

Hii ni page ya KAZIMOTO: https://m.facebook.com/kazimotocomplex6/?_se_imp=0jBjcrbwpHpClqefq

Jiongezee elimu kwa mifano hiyo
 
Jibu ni NDIO
Nakupa mfano wa jamaa niliona dodoma kama sijakosea anaitwa KAZIMOTO huyu anafanya biashara ya miamala na pia uuzaji wa mapikipiki na kuagiza pia (sijui kama bado yupo au la maana niliona 2016)

Sasa basi Unapokuwa katika process za kufungua kampuni inabidi uandike PORTFOLIO, unapoandika portfolio ndio ndani yake sasa kuna kuwa na MULTI-BRANDING strategies. Hapo sasa unaweka kila kitu unataka kufanya na kampuni yako unaweza kuorodhesha hata biashara 10 na zaidi na sio lazima uzifanye zote kwa muda mmoja
Unaweza kukaaa hata miaka
Mfano: Mo Dewji sasa anatengeneza Sabuni za Mo29 lakini zote zipo chini ya MeTL
Mimi sio mtaalam wa mambo ya kampuni ila tu nilikuwa katika process za kufungua kampuni yangu ya ujenzi professionally lakini kwa sasa najishughulisha na utumaji mizigo, na dropshipping nikija kufungua kampuni hivyo vyote vitakuwa ndani yake

Ingia google nenda ukasome:
1. Company Portfolio
2. Multi-Brand strategy

Hii ni moja ya link: What is a Multi-Brand Strategy? (+ Examples)

Hii ni page ya KAZIMOTO: https://m.facebook.com/kazimotocomplex6/?_se_imp=0jBjcrbwpHpClqefq

Jiongezee elimu kwa mifano hiyo
Nakushukuru sana Mkuu kwa ufafanuzi mzuri
 
Back
Top Bottom