Mangungo II
JF-Expert Member
- Jul 6, 2012
- 18,008
- 26,318
Humjui wewe huyo bibi.Sijambo, maana form two 1971 umetisha sana itabidi niwe nakujibu kwa heshima zote na ukitoa maneno ya kuudhi inabidi nikujibu kwa adabu kama mtoto anavyojibu kwa mama yake mzazi, inavyoonyesha kama ulifuata mfumo rasmi wa elimu hadi chuo kikuu miaka mitatu au minne ndo ukafunga ndoa na ndoa haikuchelewa kujibu basi naweza kulingana na mwanao wa kwanza.
Sidhani kama anastahili hio heshima yako kisa umri wake tu.
Endelea kumfatilia nyuzi na comments zake utamwelewa barabara!!