Msaada wa mchanganuo wa bei na miundombinu kuanzisha kituo cha mafuta (petrol station)

Mnaosema kituo cha mafuta ni gharama ebu semeni gharama ipo sehemu gani.

Je pump?
Au ujenzi wa kisima chenyewe?
Au ujenzi wa lile la juu?
Au ni ununuzi wa mafuta ? Je ni gharam za usajili....wekeni wazi kipi gharama.

Kwa uelewa wangu pump za mafuta zipo hadi za 5m.ukikadiria pale chini sidhani kama panazidi 50m.sasa semen wapi ni gharana
Hii ndo ingetusaidia kujua ukweli.
 
KITUO CHA MAFUTA KINAUZWA KIPO MBAGALA DAR ES SALAAM
BEI NI USD 1,000,000 (usd 1M) Sawa na pesa za kitanzania Bilioni 2.3
mawasiliano 0782 780 980 au 0677 81 82 83
View attachment 1257958
Hizo pump hazizidi 20m x3=60m. Kiwanja 100m. EIA 10M, Vikao 10m vibari mbalimbali vyote na leseni 10m . Total 190m + shade, toilet, ofisi, tank za kuweka mafuta chini vyote 100m inakuwa jumla kuu 290m iweje wauze 2.3B
 
Hizo pump hazizidi 20m x3=60m. Kiwanja 100m. EIA 10M, Vikao 10m vibari mbalimbali vyote na leseni 10m . Total 190m + shade, toilet, ofisi, tank za kuweka mafuta chini vyote 100m inakuwa jumla kuu 290m iweje wauze 2.3B
sikulaumu hapo ndipo uwezo wako wa kufikiria ulipoishia... nitafutia kituo cha mafuta chenye hata pump 1 tu kwa bei hiyo...nakununulia

Mkuu jifunze kukaa kimya katika mambo usiyoyajua na yaliyokuzidi uwezo wako...sio lazima uchangie...
 
sikulaumu hapo ndipo uwezo wako wa kufikiria ulipoishia... nitafutia kituo cha mafuta chenye hata pump 1 tu kwa bei hiyo...nakununulia

Mkuu jifunze kukaa kimya katika mambo usiyoyajua na yaliyokuzidi uwezo wako...sio lazima uchangie...
Sawa kwa bei hiyo utawakamata mabwiga tu. Hiyo petro station si ya bei unayotaja.
 
Sawa kwa bei hiyo utawakamata mabwiga tu. Hiyo petro station si ya bei unayotaja.
Yaani nakushangaa sana unakurupukia na kuthaminisha mali za watu
1.Hujui location ya kituo
2.hujui fame kiasi gani na connection ambazo hicho kituo ishatengeneza za wateja wakudumu
3.hujui ina matanki mangapi na yana ukubwa gani
4.hujauliza mauzo ya siku ni lita ngapi?

Yaani nakusikitikia sanaaa hasa hasa ukinambia kuna siku unaanzisha biashara... wewe unaangalia thamani ya vitu inavyoviona kwa macho na data zakukadiria... daaaaaahhh pole sanaa
 
Yaani nakushangaa sana unakurupukia na kuthaminisha mali za watu
1.Hujui location ya kituo
2.hujui fame kiasi gani na connection ambazo hicho kituo ishatengeneza za wateja wakudumu
3.hujui ina matanki mangapi na yana ukubwa gani
4.hujauliza mauzo ya siku ni lita ngapi?

Yaani nakusikitikia sanaaa hasa hasa ukinambia kuna siku unaanzisha biashara... wewe unaangalia thamani ya vitu inavyoviona kwa macho na data zakukadiria... daaaaaahhh pole sanaa
Kwa uliyoorodhesha mmiliki wa kituo asingetangaza kuuza. Utawapata mabwiga tu.
 
Vzr sana mkuu
Hii Ni tabia ya sisi watanzania, mtu anakurupuka na kusema tu billion mbili. Wala hajui Kama Kuna categories za vituo, ukubwa wa Tank, mode of operation etc.

Tunapenda kijifanya tunajua kila kitu na kukatishana tamaa.

Kimsingi Kuna two category filling station au kituo kidogo eneo lake lazima liwe so chini ya 600sqm. Walau liwe na pump mbili, ukubwa wa Tank itategemea na uwezo wa mmiliki lakini so chini ya 30,000 liters.

Kuna kituo kikubwa Petrol Service station ambacho eneo lake sio chini ya 2000sqm, pump zaidi ya nne, Kuna car service, restaurant/kiosk.

Kituo kikubwa kinagharimu Kati ya 300 - 400ml kukijenga kidogo Ni Kati ya 90m - 150m kulingana na upatikanaji wa eneo na material.

Matenk Ni Kama 15m lenye ujazo wa 20,000 pump 10 - 15m.

Mafuta unaweza kuingia ubia na wasambazaji ama ukanunua na kuuza.
Kila Lita ina margin Kati ya 65 - 130.

Hivyo unaweza kufanya hesabu zako hapo

Tusikashinane tamaa.

Kama hujui kaa kimya like unachokijua hata Kama Ni kidogo sema lakini kukatishana tamaa
 
Pump 2@15,000,000/=
Kiwanja 100,000,000/=
Ujenzi wa paa10,000,000/=
Mantank ya lita 100000 mawili @ 15,000,000/ kifupi haifiki milioni 200
Ujenzi wa paa ni zaidi ya hiyo hela uliitaja, gharama ya chuma, galvanised sheets siyo kwa bei hiyo mkuu
 
Kuna jamaa yangu wa Korogwe alinunua kituo cha mafuta maeneo ya Kongiwe milioni 600m miaaka kama
 
Mkuu upo sahihi, kuna jamaa ndo alikuwa msimamizi mkuu wa filling stations iliyopo wilayan, nikamwuliza total costs ya hiyo shell akanambia ni kama 400mil
Hii Ni tabia ya sisi watanzania, mtu anakurupuka na kusema tu billion mbili. Wala hajui Kama Kuna categories za vituo, ukubwa wa Tank, mode of operation etc.

Tunapenda kijifanya tunajua kila kitu na kukatishana tamaa.

Kimsingi Kuna two category filling station au kituo kidogo eneo lake lazima liwe so chini ya 600sqm. Walau liwe na pump mbili, ukubwa wa Tank itategemea na uwezo wa mmiliki lakini so chini ya 30,000 liters.

Kuna kituo kikubwa Petrol Service station ambacho eneo lake sio chini ya 2000sqm, pump zaidi ya nne, Kuna car service, restaurant/kiosk.

Kituo kikubwa kinagharimu Kati ya 300 - 400ml kukijenga kidogo Ni Kati ya 90m - 150m kulingana na upatikanaji wa eneo na material.

Matenk Ni Kama 15m lenye ujazo wa 20,000 pump 10 - 15m.

Mafuta unaweza kuingia ubia na wasambazaji ama ukanunua na kuuza.
Kila Lita ina margin Kati ya 65 - 130.

Hivyo unaweza kufanya hesabu zako hapo

Tusikashinane tamaa.

Kama hujui kaa kimya like unachokijua hata Kama Ni kidogo sema lakini kukatishana tamaa
 
Mkuu nenda pale OIL COM kurasini wale jamaa watakupa feedback mzuri sana tena na pump utapewa bure na jenereta.Wale jamaa wamwsaidia watu wengi sana.
Unaweza kuongeza nyama kidogo mkuu msaada upi anaweza pata hapo Oil Com
 
Back
Top Bottom