JEKI
JF-Expert Member
- Aug 16, 2013
- 4,845
- 2,937
Hii ndo ingetusaidia kujua ukweli.Mnaosema kituo cha mafuta ni gharama ebu semeni gharama ipo sehemu gani.
Je pump?
Au ujenzi wa kisima chenyewe?
Au ujenzi wa lile la juu?
Au ni ununuzi wa mafuta ? Je ni gharam za usajili....wekeni wazi kipi gharama.
Kwa uelewa wangu pump za mafuta zipo hadi za 5m.ukikadiria pale chini sidhani kama panazidi 50m.sasa semen wapi ni gharana