Msaada wa mchanganuo wa bei na miundombinu kuanzisha kituo cha mafuta (petrol station)

Mpaka Leo watu wanalipa mwisho wa mwezi. Nendo Total mlimani city uone dar lux anavojaza mafuta ya zaid ya laki tano kwa bus moja na mabasi yapo zaidi ya kumi.
Hao wa mikopo ndio hatuwataki, maana hau uchangia kufilisi biashara na kibaya zaidi wengine hadi wanafilisika hawalipi mafuta, mfano Scandinavian Express hadi snafilisika alikuwa na deni la mafuta la karibu Bilioni 2 kutoka PUMA (Zamani BP ), maana yake bilioni mbili iko nje ya mzunguko wa biashara na haitarudi,
Hapa ni Cashmoney ubaoni...
Ukimlea mteja sana anakuacha na hasara.
kwanza margin kwa litre ni ndogo halafu bado mtu aje alipe mwisho wa mwezi hiyo hapana mzeiyaah...
Don't entertain credit on business...
 
usiogope mkuu, hata ujenzi mwingine kama wa ghorofa moja kwenye eneo la square meter 70 kuna wanaosema inajengwa kwa milion 300 , lakini ukweli ni kwamba hata milion 100 haiishi
Watu hupenda sana kupotosha au kukatisha tamaa wenzao; nadhani aliyotoa hiyo bei ya TZS 700 million anaweza kuwa sahihi maana gharama kubwa hapa ni kununua matenk na pump pamoja na paving na nyumba ya ofisi.

Mkuu eneo unalo tayari?
 
Watu hupenda sana kupotosha au kukatisha tamaa wenzao; nadhani aliyotoa hiyo bei ya TZS 700 million anaweza kuwa sahihi maana gharama kubwa hapa ni kununua matenk na pump pamoja na paving na nyumba ya ofisi.

Mkuu eneo unalo tayari?
Eneo lipo tayari.
 
Hao wa mikopo ndio hatuwataki, maana hau uchangia kufilisi biashara na kibaya zaidi wengine hadi wanafilisika hawalipi mafuta, mfano Scandinavian Express hadi snafilisika alikuwa na deni la mafuta la karibu Bilioni 2 kutoka PUMA (Zamani BP ), maana yake bilioni mbili iko nje ya mzunguko wa biashara na haitarudi,
Hapa ni Cashmoney ubaoni...
Ukimlea mteja sana anakuacha na hasara.
kwanza margin kwa litre ni ndogo halafu bado mtu aje alipe mwisho wa mwezi hiyo hapana mzeiyaah...
Don't entertain credit on business...
Ndio maana ukaambiwa hiyo pesa ni ndogo sana,
Duniani hakuna mfanyabiashara anayependa kukopesha hakunaa! Isipokuwa watu wanakopesha ili biashara iwe na mzunguko mzuri bidhaa iliyopo itoke nyngine inunuliwe.
Huwezi kumudu biashara ya mafuta kama si mkopeshaji, hata mabenki na taasisi hukopesha lengo ni kupata wateja (wanachama) sambamba na ushindani wa kibiashara, mtu hawezi kuja kunnua kwako kilasiku anatoa cash wakati jirani yako kampa ofa ya kukopa kilasiku.
Kwanini inakulazimu ukopeshe?
Ukisoma vizuri kwenye komenti yangu ya mwanzo nimeandika kuwa kwenye mkataba moja ya makubaliano unapangiwa kiwango cha manunuzi mfano; Petrol kwa mwezi utannua lita laki tatu inamaana uwe na uwezo na uhakika wa kuuza lita elfu kumi kilasiku hiyo ni petrol.. Diesel kwa mwezi utannua lita laki sita hapa inabidi kilasiku lazima uuze diesel si chini ya lita elfu ishirini..
Ukisema unataka cash ndugu mafuta yatabaki mengi kwenye tenki (kisima) chako, na unatakiwa ukachukue mengine depot (terminal) utayaweka wapi haya mengine?
 
Watu hupenda sana kupotosha au kukatisha tamaa wenzao; nadhani aliyotoa hiyo bei ya TZS 700 million anaweza kuwa sahihi maana gharama kubwa hapa ni kununua matenk na pump pamoja na paving na nyumba ya ofisi.

Mkuu eneo unalo tayari?
Hapana mkuu, pump mpya kabisa ni million 20-30, matank ya mafuta ujazo lita 50,000 ni kati ya tshs 8-15million canopy ya juu 15million, paving kwa square meter 40,000. Hivyo basi kituo chenye pump 3 za kutolea mafuta na tank 2 kubwa za liter 50,000 diesel na petrol gharama zake ni kati ya 80,000,000 - 150,000,000.source from ewura.
 
Hapana mkuu, pump mpya kabisa ni million 20-30, matank ya mafuta ujazo lita 50,000 ni kati ya tshs 8-15million canopy ya juu 15million, paving kwa square meter 40,000. Hivyo basi kituo chenye pump 3 za kutolea mafuta na tank 2 kubwa za liter 50,000 diesel na petrol gharama zake ni kati ya 80,000,000 - 150,000,000.source from ewura.
Nyumba ya ofisi na Paa juu ya Pump umejumlisha?
 
Sina taarifa kamili......

Labda ufanye kazi za super dealer... Kwa mfano unapewa kituo ambacho kipo tayari,unakua unauza products zao tu.. Kama Puma,Total au Engen... na unakua unakula hela kwa commission kutokana na mauzo yako.... La sivyo ku operate kituo cha mafuta sio lelemama mkuu
Mueleze huyo....
 
Habari waungwana.

Naomba kujua hatua za mwanzo jinsi ya kuanzisha kituo cha Mafuta, gharama na utaratibu wote kuanzia namna ya kupata matenki pamoja na mashine zake. Na ni wapi naweza kupata vifaa hivyo hasa kati ya Mwanza ama Dar, na kama kuna utofauti wowote wa kuanzisha kituo kidogo ama kikubwa.
Naomba kuwasilisha.
Vifaa waone BIGBON pale Kariakoo
 
Unaweza kuanzisha hata Kama una mtaji mdogo. Hapo partnership ndio inafaa Kama unalengo LA kufanya ila mtaji mdogo. Kiwanja unaingia ubia,mzigo Wapange vizuri uchukue Mali kauli. Hapo wewe unapambana na ujenzi na pump etc. Mwisho WA siku mwenye kiwanja anapata, wewe chako na supplier chake.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom