Joowzey
JF-Expert Member
- Nov 13, 2015
- 13,093
- 13,294
Mpaka Leo watu wanalipa mwisho wa mwezi. Nendo Total mlimani city uone dar lux anavojaza mafuta ya zaid ya laki tano kwa bus moja na mabasi yapo zaidi ya kumi.
Hao wa mikopo ndio hatuwataki, maana hau uchangia kufilisi biashara na kibaya zaidi wengine hadi wanafilisika hawalipi mafuta, mfano Scandinavian Express hadi snafilisika alikuwa na deni la mafuta la karibu Bilioni 2 kutoka PUMA (Zamani BP ), maana yake bilioni mbili iko nje ya mzunguko wa biashara na haitarudi,
Hapa ni Cashmoney ubaoni...
Ukimlea mteja sana anakuacha na hasara.
kwanza margin kwa litre ni ndogo halafu bado mtu aje alipe mwisho wa mwezi hiyo hapana mzeiyaah...
Don't entertain credit on business...