deepsea
JF-Expert Member
- Aug 10, 2013
- 3,288
- 939
ShukuraniMkuu installation ,equipment na vibali zitakuta sichini ya 130m
ShukuraniMkuu installation ,equipment na vibali zitakuta sichini ya 130m
Kibongo bongo we mean the same...correct me if am wrongShell au kituo cha mafuta,hebu kua makini bwana
Kibongo bongo we mean the same...correct me if am wrong
Habari, mimi nimekufuata inboxHabari naomba anayefahamu hizo taratibu anisaidie asanteni.
Shukurani nimekupata vema ndugu
Salama ndugu nimekupata vema nashukuruHabari, mimi nimekufuata inbox
Ni kweli ndugu inahitajika taarifa sahihi hata hizi kiasi wadau wanazotoa ni muhimu sana zinasaidia kujua upite wapi na wapi?Kuna itajika taarifa sahihi hapa... Naona kila mtu ana gusa gusa
Habari naomba anayefahamu hizo taratibu anisaidie asanteni.
Mkuu na shukuru kwa msaada wako ninahitaji ni hiyo kubwa ya kutoa huduma zaidi ya mojaWewe unataka kipi kati ya hivi? Filling station( ndogo, hutoa huduma ya mafuta tuu) na service station ( kubwa, hutoa huduma zaidi ya moja)
1. Hakilisha eneo lako limepimwa, hati inasoma matumizi sahihi ya hio ardhi
2. Tafuta consultant akuandalie Environmenral Impact Assessment (adaa mil 8 na kuendelea kulingana na ukubwa wa kituo chako- hii process itachukua not less than 2 months)
3. Tafuta mchoraji(architect/engineer) akuandalie michoro sahihi kwajili ya kituo chako.. michoro utaambatanisha katika process no. 2
4. Ukishapata environmental clearance /EIA certificate, nenda manispaa/wilaya husika kupata kibali cha ujenzi. Gharama za kibali hutegemea na manispaa/wilaya husika.. hii hatua huchukua mwezi mmoja or less (kwa dar hata miezi minne na keundelea, kulingana na uchap wako)
5. Utaambatanisha copy za kibali cha ujenzi, EIA certificate, michoro, form ya maombi, TIN no. Leseni ya biashara kama unayo, peleka EWURA kwajili ya kibali.. Ewura huchuka muds mchache tuu kama vitu vyako viko clear...
4. Ewura wakikupa go ahead, kasajili mradi CRB, ERB, AQRB na OSHA.. hii hatua yaweza kula mil kama 6, kama utaishia tuu kununua vibao vya makampuni ya consultancy na ujenzi kwa jili ya bango tuu, au kiasi kikazidi kama utaamua kuwa engage kabisa katika hatua zote za ujenzi..
5. Anza ujenzi kwa kuumia kampuni ya ujenzi, au mafundi wazoefu wenye workamanship nzuri..
6. Hii sio lazima, ni ushauri tuu.. Tumia international franchise, especially TOTAL na PUMA.. wateja wanaziamini sana, na utauza sana.. mafuta na lubricants utanunua kwao, wao wata brand kituo chako kwa nembo zao..
7. Thank me later..
👍Wewe unataka kipi kati ya hivi? Filling station( ndogo, hutoa huduma ya mafuta tuu) na service station ( kubwa, hutoa huduma zaidi ya moja)
1. Hakilisha eneo lako limepimwa, hati inasoma matumizi sahihi ya hio ardhi
2. Tafuta consultant akuandalie Environmenral Impact Assessment (adaa mil 8 na kuendelea kulingana na ukubwa wa kituo chako- hii process itachukua not less than 2 months)
3. Tafuta mchoraji(architect/engineer) akuandalie michoro sahihi kwajili ya kituo chako.. michoro utaambatanisha katika process no. 2
4. Ukishapata environmental clearance /EIA certificate, nenda manispaa/wilaya husika kupata kibali cha ujenzi. Gharama za kibali hutegemea na manispaa/wilaya husika.. hii hatua huchukua mwezi mmoja or less (kwa dar hata miezi minne na keundelea, kulingana na uchap wako)
5. Utaambatanisha copy za kibali cha ujenzi, EIA certificate, michoro, form ya maombi, TIN no. Leseni ya biashara kama unayo, peleka EWURA kwajili ya kibali.. Ewura huchuka muds mchache tuu kama vitu vyako viko clear...
4. Ewura wakikupa go ahead, kasajili mradi CRB, ERB, AQRB na OSHA.. hii hatua yaweza kula mil kama 6, kama utaishia tuu kununua vibao vya makampuni ya consultancy na ujenzi kwa jili ya bango tuu, au kiasi kikazidi kama utaamua kuwa engage kabisa katika hatua zote za ujenzi..
5. Anza ujenzi kwa kuumia kampuni ya ujenzi, au mafundi wazoefu wenye workamanship nzuri..
6. Hii sio lazima, ni ushauri tuu.. Tumia international franchise, especially TOTAL na PUMA.. wateja wanaziamini sana, na utauza sana.. mafuta na lubricants utanunua kwao, wao wata brand kituo chako kwa nembo zao..
7. Thank me later..
Habari waungwana.
Naomba kujua hatua za mwanzo jinsi ya kuanzisha kituo cha mafuta, gharama na utaratibu wote kuanzia namna ya kupata matenki pamoja na mashine zake. Na ni wapi naweza kupata vifaa hivyo hasa kati ya Mwanza ama Dar, na kama kuna utofauti wowote wa kuanzisha kituo kidogo ama kikubwa.
Naomba kuwasilisha.
Bilioni mbiliHabari waungwana.
Naomba kujua hatua za mwanzo jinsi ya kuanzisha kituo cha mafuta, gharama na utaratibu wote kuanzia namna ya kupata matenki pamoja na mashine zake. Na ni wapi naweza kupata vifaa hivyo hasa kati ya Mwanza ama Dar, na kama kuna utofauti wowote wa kuanzisha kituo kidogo ama kikubwa.
Naomba kuwasilisha.
.
Acha utani wewe kituo cha mafuta hakijengwi kwa pesa ya kununulia nyanya.Jiandae kuanzia milioni 700.