TingTing
Member
- Dec 20, 2009
- 92
- 3
Nimejitahidi ku-google habari zaidi kuhusu gharama za ku"publish" jarida au gazeti nchini mwetu lakini sikufanikiwa. Kama kuna yeyote anayejua kuhusiana na gharama hizi tafadhali naomba anijuze na ni wkampuni gani ndio zinafanya hizi kazi. Kikubwa ni kujua "standard" gharama za kwa document ambayo iko black/white and/or coloured. Asante