Gharama za Ku-"publish" Gazeti au Jarida Tanzania?

TingTing

Member
Dec 20, 2009
92
3
Nimejitahidi ku-google habari zaidi kuhusu gharama za ku"publish" jarida au gazeti nchini mwetu lakini sikufanikiwa. Kama kuna yeyote anayejua kuhusiana na gharama hizi tafadhali naomba anijuze na ni wkampuni gani ndio zinafanya hizi kazi. Kikubwa ni kujua "standard" gharama za kwa document ambayo iko black/white and/or coloured. Asante
 
yes, kama uko dar kuna makampuni mengi sana yana-publish magazine na vijarida vingine (flyers, brochures, posters etc). Mojawapo ya makampuni haya ni TANZANIA PRINTERS LTD. Ni wazoefu sana. Contacts zao ni: 0784 558787 au 0784 558788, website: Tanzania Printers Ltd.. Ukiwasiliana nao unaweza kuwa specs ya kazi yako then wakakupa costs. Kampuni nyingine ni DTP Tanzania (nenda kwenye website yao ya: www.dtptz.co for more details na contacts zao). mie nafanya designing pia (flyers, logo, calendar) my contacts: richie_massive@yahoo.com.

ALL THE BEST!!!
 
Asante sana. Nitawacheki hao niwasikie gharama zao. Nashukuru, email saved for future references. Thanks
 
Back
Top Bottom