Melki the Storyteller
JF-Expert Member
- May 3, 2022
- 5,699
- 9,775
Wakuu, Natumai mko vyema na mmejiandaa kikamilifu kuhesabiwa.
Unaambiwa upange maisha yako kwanza, uhakikishe unakuwa kwenye mstari wa mafanikio kisha uwaze kuhusu maisha ya ndoa. Uki-vise verse tambua kabisa utakuja kupigwa na kitu kizito kichwani mpaka ushangae. Nimeishuhudia mahali
Twende kwenye hoja:
Nahitaji kujenga nyumba ya vyumba vitatu (3 bedrooms), sebule ya ukubwa wa kawaida (yaani lisiwe casino), dining room iliyounganika na kitchen room kiaina, bila kusahau choo na bafu la ndani. Nahitaji kuweka vigae pamoja na singboard. Kupiga leap na kupakaa rangi nje na ndani. Madirisha ya aluminium yatakuwa sita nyumba nzima jumlisha na tu aluminium tudogo tuwili twa choo na bafu! Nahitaji kufanya wiring na kuweka umeme kabisa.
Niko mbele zenu ili kujua gharama zinazohitajika kwa ajili ya kukamilisha jukumu hili. Gharama za jumla kwa wenye uzoefu, ili kusudi nikienda kuchukua huu mkopo benki nimalize suala hili moja kwa moja, yasiwepo masuala ya aliishia kwenye renta! Hata kama una uzoefu may be na mchanganuo wa matofali, au sementi, au mabati (msaudhi) yatakayotosheleza pamoja na mbao zake naomba msaada wako kuhusu gharama. Nafahamu wengi wenu humu mmejenga!
Mawazo tafadhari!
Unaambiwa upange maisha yako kwanza, uhakikishe unakuwa kwenye mstari wa mafanikio kisha uwaze kuhusu maisha ya ndoa. Uki-vise verse tambua kabisa utakuja kupigwa na kitu kizito kichwani mpaka ushangae. Nimeishuhudia mahali
Twende kwenye hoja:
Nahitaji kujenga nyumba ya vyumba vitatu (3 bedrooms), sebule ya ukubwa wa kawaida (yaani lisiwe casino), dining room iliyounganika na kitchen room kiaina, bila kusahau choo na bafu la ndani. Nahitaji kuweka vigae pamoja na singboard. Kupiga leap na kupakaa rangi nje na ndani. Madirisha ya aluminium yatakuwa sita nyumba nzima jumlisha na tu aluminium tudogo tuwili twa choo na bafu! Nahitaji kufanya wiring na kuweka umeme kabisa.
Niko mbele zenu ili kujua gharama zinazohitajika kwa ajili ya kukamilisha jukumu hili. Gharama za jumla kwa wenye uzoefu, ili kusudi nikienda kuchukua huu mkopo benki nimalize suala hili moja kwa moja, yasiwepo masuala ya aliishia kwenye renta! Hata kama una uzoefu may be na mchanganuo wa matofali, au sementi, au mabati (msaudhi) yatakayotosheleza pamoja na mbao zake naomba msaada wako kuhusu gharama. Nafahamu wengi wenu humu mmejenga!
Mawazo tafadhari!