Huu ni wizi, hakuna jina zuri la kuita hii tozo
Hebu fikiria unaenda kuomba mkopo ambao utaulipa na riba juu tena kubwa tu, pale bank wameajiri ma-afisa mikopo ambao kazi yao ni kutoa elimu na mikopo kwa wahitaji.
Ukifika, Unapewa maelezo na form then unaambiwa ufatilie mwenyewe kila document wanayotaka, kama ni muajiriwa utafitilia document zote za kiofisi mwenyewe ikiwemo saini za waajiri wako na stationaries kama zitakuwepo kwenye uhitaji, unamaliza unawarudishia form yao ikiwa imekamilika wanakuambia subiri siku kadhaa tutakujibu.
Then unaambiwa kuna gharama za "Processing fee" kwa bank kama NMB zinaenda mpaka 900k (Laki 9), kwa kazi gani waliyofanya hapo kama sio wizi?
Bank mnatoa mikopo kama biashara then kutupa hiyo mikopo mnataka tuilipie kutupa kama hisani, wakati tunairudisha kwa riba na mnatengeneza faida?
Ni bora hata mngekuwa mnazunguka wenyewe na hiyo miform maofisini, yaani mfatilie wenyewe kila kitu ingekuwa na tija, mnakata pesa ambayo hata jasho hamuitolei?
Nimeamua kubaki na form yangu ya mkopo katika hatua ya mwisho...
Nyie CRDB hii form yenu siirudishi, nimeshaghairi kuchukua huo mkopo, inabidi itumike kuwashia moto nyumbani, haiwezekani mnile pesa kizembe hivi tena kwa zama hizi za jiwe.
Acheni wizi..!!
NMB Tanzania
Hebu fikiria unaenda kuomba mkopo ambao utaulipa na riba juu tena kubwa tu, pale bank wameajiri ma-afisa mikopo ambao kazi yao ni kutoa elimu na mikopo kwa wahitaji.
Ukifika, Unapewa maelezo na form then unaambiwa ufatilie mwenyewe kila document wanayotaka, kama ni muajiriwa utafitilia document zote za kiofisi mwenyewe ikiwemo saini za waajiri wako na stationaries kama zitakuwepo kwenye uhitaji, unamaliza unawarudishia form yao ikiwa imekamilika wanakuambia subiri siku kadhaa tutakujibu.
Then unaambiwa kuna gharama za "Processing fee" kwa bank kama NMB zinaenda mpaka 900k (Laki 9), kwa kazi gani waliyofanya hapo kama sio wizi?
Bank mnatoa mikopo kama biashara then kutupa hiyo mikopo mnataka tuilipie kutupa kama hisani, wakati tunairudisha kwa riba na mnatengeneza faida?
Ni bora hata mngekuwa mnazunguka wenyewe na hiyo miform maofisini, yaani mfatilie wenyewe kila kitu ingekuwa na tija, mnakata pesa ambayo hata jasho hamuitolei?
Nimeamua kubaki na form yangu ya mkopo katika hatua ya mwisho...
Nyie CRDB hii form yenu siirudishi, nimeshaghairi kuchukua huo mkopo, inabidi itumike kuwashia moto nyumbani, haiwezekani mnile pesa kizembe hivi tena kwa zama hizi za jiwe.
Acheni wizi..!!
NMB Tanzania