rikiboy
JF-Expert Member
- Feb 19, 2017
- 21,478
- 41,881
Hio sio shidaa... Masharti ya matumizi na Pia umeme wake hauna nguvu ya uhakikaa kiasi hicho.. Kingine sio kila siku kuna Juaa..! Kuna msimu wa mvuaa na mawingu siku nzimaa.. Unapiga hesabu ya Miaka 25 ya kuishi kwa matumainiTatizo ni kwamba watanzania wengi walifeli hisabati na inawezekana hata wewe ni mmojawao.
Hiyo milioni tatu ni kwamba hutaendelea kulipia bill za umeme. Hapo unakuwa umejikomboa kwa miaka 25 ijayo.
Nitatumia solar kama Umeme wa tanesco haupoo na si vinginevyooo... Hayo ndo yale mahesabu yenu ya faida za Kulima matikitiii...
Sent using Jamii Forums mobile app