Gharama ya kupeleka marais wawili na misafara yao Chato haijazidi shule wanayoenda kuzindua?

Replica

JF-Expert Member
Aug 28, 2017
1,444
7,808
Niko hapa naangalia convo iliyoenda kuzindua shule ya msingi Chato iliyojengwa na Rais Museveni, aisee ni kubwa. Nimemuona Rais Samia kashuka kwenye lile dege kubwa akiwa ameambatana na jopo la kutosha, Rais Museveni nae kaenda na ndege yake, picha za sehemu ya uzinduzi ina watu wa kutosha wakiwemo watumishi wa Serikali.

Najiuliza gharama za kupeleka ndege mbili za Marais, kupeleka jopo kubwa hivi, kuwalipa posho walioenda na watumishi wa Chato, logistics za ulinzi kwa marais wote wawili, kupeleka live TV etc

Hizi gharama hazijazidi au kukaribiana na gharama ya shule ya msingi iliyoenda kuzinduliwa? Kama ni alama ya ushirikiano, hamna namna nyingine tungeweza kufanya?
 
Hamna picha ya shule na sisi tuliopo Ludewa tuone.
Shule_Chato_Museveni.jpg
 
Niko hapa naangalia convo iliyoenda kuzindua shule ya msingi Chato iliyojengwa na Rais Museveni, aisee ni kubwa. Nimemuona Rais Samia kashuka kwenye lile dege kubwa akiwa ameambatana na jopo la kutosha, Rais Museveni nae kaenda na ndege yake, picha za sehemu ya uzinduzi ina watu wa kutosha wakiwemo watumishi wa Serikali.

Najiuliza gharama za kupeleka ndege mbili za Marais, kupeleka jopo kubwa hivi, kuwalipa posho walioenda na watumishi wa Chato, logistics za ulinzi kwa marais wote wawili, kupeleka live TV etc

Hizi gharama hazijazidi au kukaribiana na gharama ya shule ya msingi iliyoenda kuzinduliwa? Kama ni alama ya ushirikiano, hamna namna nyingine tungeweza kufanya?
Hapo ni nyumbani kwa JPM, mmoja wa mashujaa wa afrika, mzalendo wa kweli. Aliyesema mtanikumbuka kwa mazuri na kweli tunamkumbuka kwa mengi mazuri.
 
Niko hapa naangalia convo iliyoenda kuzindua shule ya msingi Chato iliyojengwa na Rais Museveni, aisee ni kubwa. Nimemuona Rais Samia kashuka kwenye lile dege kubwa akiwa ameambatana na jopo la kutosha, Rais Museveni nae kaenda na ndege yake, picha za sehemu ya uzinduzi ina watu wa kutosha wakiwemo watumishi wa Serikali.

Najiuliza gharama za kupeleka ndege mbili za Marais, kupeleka jopo kubwa hivi, kuwalipa posho walioenda na watumishi wa Chato, logistics za ulinzi kwa marais wote wawili, kupeleka live TV etc

Hizi gharama hazijazidi au kukaribiana na gharama ya shule ya msingi iliyoenda kuzinduliwa? Kama ni alama ya ushirikiano, hamna namna nyingine tungeweza kufanya?
Hii kawaida kwa nchi hii, unakuta convo inaenda kuzindua zahanati iliyojengwa kwa milion 130, basi hapo ndo utajua kwamba pesa nyingi ya nchi hii inapotea bure.

Ukiwa wasikiliza budget sikiliza pesa ya matumizi na pesa ya maendeleo ndo utaelewa. 90% unakuta budget ya wizara ni matumizi na 10% ya maendeleo nayo hiyo 10% bado wanaila 10%
 
Shughuli hii ingepangwa wakati Rais ana jambo (activity) nyingine la kufanya kule Chato. Mathalan kipindi kile cha kuzima mwenge au kama ujenzi wa shule ulikuwa haujakamilika, wangesubiri ipatikane activity nyingine kwani uzinduzi unaweza kufanywa wakati wowote hata kama matumizi tayari yameanza.
 
Niko hapa naangalia convo iliyoenda kuzindua shule ya msingi Chato iliyojengwa na Rais Museveni, aisee ni kubwa. Nimemuona Rais Samia kashuka kwenye lile dege kubwa akiwa ameambatana na jopo la kutosha, Rais Museveni nae kaenda na ndege yake, picha za sehemu ya uzinduzi ina watu wa kutosha wakiwemo watumishi wa Serikali.

Najiuliza gharama za kupeleka ndege mbili za Marais, kupeleka jopo kubwa hivi, kuwalipa posho walioenda na watumishi wa Chato, logistics za ulinzi kwa marais wote wawili, kupeleka live TV etc

Hizi gharama hazijazidi au kukaribiana na gharama ya shule ya msingi iliyoenda kuzinduliwa? Kama ni alama ya ushirikiano, hamna namna nyingine tungeweza kufanya?
Unafiki wa viongozi wa Afrika kwani kwao Uganda shule wanazo za kutosha?
 
Kwa kuwa wao tyu ndio wanaoumizwa na matumizi mabaya ya kodi za watanzania lazima wanune. Wewe usiye na uwezo wa kuchanganua mambo unaona kawaida tu
Kwani bado wanaumia?

Aliekuwa anawaumiza si akishakufa na wakashangilia sana kifo chake?

Sasa wanaumia vipi tena? Si wanapumua baada ya kuonewa sana hawa?
 
Hivi alichoongea mleta mada ni ushujaa au ni matumizi yasiyo sahihi ya kodi yako? Muwe mnajitahidi kusoma na kuelewa kabla ya kuchangia
Matumizi sahihi ya kodi hayalingani na ushujaa na heshima anayoiacha mtu duniani. JPM alifungua nchi kadri alivyoweza huwezi hata siku moja kumpima kwa matumizi ya kodi, pesa ambayo haina thamani kuliko utu wa mtu unaodumu milele.
 
Kwani bado wanaumia?

Aliekuwa anawaumiza si akishakufa na wakashangilia sana kifo chake?

Sasa wanaumia vipi tena? Si wanapumua baada ya kuonewa sana hawa?
Kwahiyo kama amekufa basi ni tiketi ya waliobaki kuchezea kodi zetu kwa matumizi yasiyo ya lazima?
 
Niko hapa naangalia convo iliyoenda kuzindua shule ya msingi Chato iliyojengwa na Rais Museveni, aisee ni kubwa. Nimemuona Rais Samia kashuka kwenye lile dege kubwa akiwa ameambatana na jopo la kutosha, Rais Museveni nae kaenda na ndege yake, picha za sehemu ya uzinduzi ina watu wa kutosha wakiwemo watumishi wa Serikali.
Lipa kodi mkuu acha woga...
 
Back
Top Bottom